Hello, hodi hodi

RabidDog

Member
Mar 4, 2012
60
54
Nafikiri ni mila na tabia za kiafrika kubisha hodi ili ufunguliwe! Kwa mila hiyo hiyo nami nagonga hodi ndani ya jukwaa! Nategemea karibu has kwa waungwana wote! Hata hivyo rabidDog tabia yake wengi wanaijua!
:lol:
Asante Wana JF
 
Nafikiri ni mila na tabia za kiafrika kubisha hodi ili ufunguliwe! Kwa mila hiyo hiyo nami nagonga hodi ndani ya jukwaa! Nategemea karibu has kwa waungwana wote! Hata hivyo rabidDog tabia yake wengi wanaijua!
:lol:
Asante Wana JF

Naogopa rabies wewe ni muathirika.......karibu lakini!
 
Back
Top Bottom