Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,937
- 156,084
Haina dereva ina rubaniItaua dereva atakae penda.
Kuna bibi wa Mtwara eti anageuza gesi kuwa kinyesi
mbona tayari keshaigeuza! halafu katishia kuwageuza mawaziri kuwa vyura kama hawatotimiza yale waliyoahidi kwa wanamtwara!
Ninamashaka huyu aliyeiunda si m-bongo bali atakuwa mchina.
Ngumu kumesa..!