Hela ya kujikimu kwa waliofanya transfer

REUBBY

Member
Aug 23, 2014
41
1
Msaada kwa anae jua bum linatoka lini kwa waliofanya transfer """allocation ilishatoka tangia mwaka jana mwezi wa 11 kabla first year hawajapata bum la kwanza ila mpaka saiv wamepata la pili huku transfer hata la kwanza bado"
 
kwa kawaida ufanyapo transfer ya chuo ujue bum huchelewa kwa miez mi3 ya awali na huwa wanakuambia kabisa otherwise wale wenye shortcut zao maana cku hiz penye uzia penyeza rupia mkuu
 
kwa kawaida ufanyapo transfer ya chuo ujue bum huchelewa kwa miez mi3 ya awali na huwa wanakuambia kabisa otherwise wale wenye shortcut zao maana cku hiz penye uzia penyeza rupia mkuu

bora wangesemaga mtu angefanya anajua ""ila kama ulivo sema kunawachache wameshata"""
 
Back
Top Bottom