TAREHE 7/01/2024
" Kitendo Cha Young Africans kutolewa kimetuu sana Simba, maana tulitaka kuwafanyia unyama, tulitaka kufanya unyanyasaji wa kijinsia. Simba ndio timu Bora na Hakuna timu ya kutuzuia...."
TAREHE 13/01/2024
"Mechi tumecheza vizuri sana ila katika maisha kumbuka kitu kiitwacho bahati ....
Tumetengeneza nafasi nyingi tumeshindwa kuzitumia wapinzani wamepata nafasi na kuitumia vizuri
Lengo kuu katika mapinduzi ilikuwa kutengeneza kikosi na mpaka sasa kocha wetu kashapata jibu wapi ataanzia .....
Sisi kupoteza mapinduzi sio kitu cha maumivu kwetu sababu lengo letu ni kuboresha kikosi chetu na mpaka sasa tumeona kikosi chetu kilivyo bora......
Tukutane NBC
Tukutane Champion league
Tukutane Azam confederation cup
Mtaelewa nini tulifata Zanzibar 💪💪"
" Kitendo Cha Young Africans kutolewa kimetuu sana Simba, maana tulitaka kuwafanyia unyama, tulitaka kufanya unyanyasaji wa kijinsia. Simba ndio timu Bora na Hakuna timu ya kutuzuia...."
TAREHE 13/01/2024
"Mechi tumecheza vizuri sana ila katika maisha kumbuka kitu kiitwacho bahati ....
Tumetengeneza nafasi nyingi tumeshindwa kuzitumia wapinzani wamepata nafasi na kuitumia vizuri
Lengo kuu katika mapinduzi ilikuwa kutengeneza kikosi na mpaka sasa kocha wetu kashapata jibu wapi ataanzia .....
Sisi kupoteza mapinduzi sio kitu cha maumivu kwetu sababu lengo letu ni kuboresha kikosi chetu na mpaka sasa tumeona kikosi chetu kilivyo bora......
Tukutane NBC
Tukutane Champion league
Tukutane Azam confederation cup
Mtaelewa nini tulifata Zanzibar 💪💪"