Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
angekuwa hai unadhani wangefanya madudu wanayofanya!
Mimi sijaona kigeni alichosema Nyerere ila hizo ni facts za kimaisha. Na hayakuanza leo. Munamuabudu sana huyu.
angekuwa hai unadhani wangefanya madudu wanayofanya!
Du! Hawa wachina mbona watatumaliza!!!!!!!!!!!!Aliweza kuongea ikawa kama vile utabiri wa jambo linalo tusumbua na kutumaliza hivi sasa..
Angalieni hiki kipande cha picha na maandishi.
View attachment 57903
Ndo maana walimdedisha
Falconer
Mimi sijaona kigeni alichosema Nyerere ila hizo ni facts za kimaisha. Na hayakuanza leo. Munamuabudu sana huyu