Kama unajikubali upo poor in mind.. kwa nini umlaumu raisi?
Tusipende kulaumu kila achofanya raisi, tukumbuke anafanya kwa ajili yetu.
Tatizo sio kutafuta wawekezaji tatizo chi imejipanga vipi kupokea Hal wawekezaji. Nchi nyingi zilizoendelea hapa duniani zina uwekazaji mwingi tok a kwa makampuni makubwa. Wao wanfanya na kujipanga wakati wa ku negotiate deal, wako smart na very organised . Wanapanga regulatory structure nzuri..........Hatuko organized . Hatujui nini tunataka ...........
Unapochaguwa wasaidizi wabovu na wewe mwenyewe unakuwa mbovu
From ICHIKAELI MARO, Perth, Australia, 26th October 2011 Daily News
President Jakaya Kikwete ( left) confers with the Director of Commonwealth Business Forum Dr Mohan Kaul in Perth, Australia on Tuesday, ahead of the clubs Heads of Government Meeting which starts on Friday.( Photo by Fred Maro)
PRESIDENT Jakaya Kikwete said here on Wednesday that foreign investors in Africa should plough back part of their gains to benefit the local communities.
He told the Secretary General of the Commonwealth Business Council, Dr Mohan Kaul, that proceeds from foreign investment should help efforts to improve food security and creation of decent employment in Africa.
Dr Kaul was briefing Mr Kikwete on the Commonwealth Business Forum, a side event, which the president is expected to address on Friday ahead of the Club summit opening on Friday.
President Kikwete said it was important for the Commonwealth to support the poorest member nations in reducing poverty in the same way it was propping up democracy, good governance and rule of law.
The major obligation of Commonweath is to assist the poorest nations within the Club, especially those in Africa, to deal with the challenges of climate change (and poverty alleviation.)
The president said such intervention would stimulate creation of wealth, reduce unemployment and promote equitable distribution of wealth in poor nations, which form majority of Commonwealth members.
Meanwhile, President Kikwete held discussions with the Executive Vice-President of Shell Oil Company, Mr Guy Outen.
They discussed prospect of Shell investing in offshore oil and natural gas prospecting in Tanzania.
huyu naye akili kama za mbuni kuchomeka kichwa mchangani akihisi amejificha. Wakati wa campain alisema cha kwanza atakachofanya ni ku review mikataba. Alivyoingia madarakani akawa wa kwanza kumtuma karamagi kusaini mkataba wa buzwagi. Lazima masaburi yanatumika kutoa mawazoKikwete bana, hajifunzi; habadiliki! Eti wazungu wabembelezwe kusaidia nchi maskini, kutokana na utajiri wanaovuna ktk investment zao. Tunashindwa kuweka mikataba mizuri tunabaki kuwapigia magoti ili watujengee vyoo! Aibu!
Hivi ile siasa ya Ujamaa na KUJITEGEMEA iliishia wapi?? Nilifikiri wameachana na Ujamaa lakini bado tunataka Tujitegemee. Kwa mtizamo wa sasa inaelekea TZ inataka kuwa nchi TEGEMEZI!!
Akiwa hapa nyumbani anasema tumejaribu tumeweza........anasema chakula kipo, maghala ya serikali yamejaa chakula cha kutosha...bado sijaona Jk kakosea wapi labda tu kwa sababu wakosoaji wake hawawezi kukaa kimya lakini pia hawawezi kumsifia hata kwa zuri atakalokuwa amefanya
Mie huwa nashangazwa sana na uwezo wa JF members humu ndani, hii forum ndugu zanguni inazidi kudharaulika kila kukicha inasubiria kufa tu. Hapo rais alichosema kibaya kipi ? tatizo lenu ni wachambuzi juu juu badala ya wachambuzi kina !
Tumeshindwa kuona faida ya Dhahabu halafu tunawaita maharamia ya oil and gas ? hawa hawana mchezo ukitaka kuwabana wanakukodishia Nato,kizazi hichi dhahabu itatutosha oil/gas tuwaachie kizazi cha wanetu.
Nalo neno.
Kazi kulia lia tu. Yeye alichosema ni kwamba lazima kuwe na reciprocity katika kuvuna rasilimali na kwa taarifa yenu rasilimali hizo haziwezi kuleta maendeleo kwa kuendelea kuwa ardhini. Kinachotakiwa hapa ni kuweka mipangi sawa na kurekebisha mipango mibovu ya huko nyuma ili kuwe na usawa katika kufaidika na rasilimali hizo ambazo zinahitaji mtaji katika kuzifanya ziwe za manufaa kwa umma.
Mbopo let me agree kwamba you are right on this na tuangalie uhalisia sasa .Tumesha chimba sana hadi sasa eneo kubwa ya madini yamechimbwa kweli .Je tunepata ngapi na wangapi wamenufaika na machimbo haya iliwa ni mali ya wananchi wote ? Usisahau kutaja wahanga wa maeneo ya madini pia mkuu .Haya nangojea useme .
Akiwa hapa nyumbani anasema tumejaribu tumeweza........anasema chakula kipo, maghala ya serikali yamejaa chakula cha kutosha...
Akienda mje anasema ...helpe us to improve food security.........my bad!!
Kazi kulia lia tu. Yeye alichosema ni kwamba lazima kuwe na reciprocity katika kuvuna rasilimali na kwa taarifa yenu rasilimali hizo haziwezi kuleta maendeleo kwa kuendelea kuwa ardhini. Kinachotakiwa hapa ni kuweka mipangi sawa na kurekebisha mipango mibovu ya huko nyuma ili kuwe na usawa katika kufaidika na rasilimali hizo ambazo zinahitaji mtaji katika kuzifanya ziwe za manufaa kwa umma.
nakubaliana nawe kwenye nyekundu lakini nashangaa kuwa unakubaliana naye kwenye swala la kuleta wawekezaji huku ukijua wazi hakuna maandalizi ya kutosha ya kuweza kuwafanya wananchi wafaidike na hao wawekezaji. binafsi naamini kuwa ni watanzania pekee ndio wanaweza kujiletea maendeleo yao wao wenyewe na siyo wawekezaji kutoka nje kwani kazi yao ni kuiba kupora na kuhujumu nchi hawajali kama watu wanafaidika au vipi angalia mfano wa nchi zilizokabidhi rasimali zao kwa wawekezaji zilizoendelea hakuna hata moja.Ukiona hivyo ujue yeye ni mfaidika anashindwa kuelewa tu kuwa njaa yake inamfanya auze haki yake ya uzaliwa wa kwanza kwa mchuzi wa dengu ili tu atulize minyoo tumboni. Hajui kuwa siku moja yeye pamoja na kizazi chake watajitolea hata uhai wao kuweza kuwaondoa hawa watu ambao leo tunawakaribisha kwa magoti.
Uwekezaji bila maandalizi ya watu wa ndani ni ukoloni waaina yake nchini kwetu. Sijawahi ona hata mfano mmoja wakupigiwa mfano kuanzia viwanda vya wahindi hadi makampuni ya wageni kwamba wameleta welfare. Kama kwa uchache tu hali ni hii vipi tukiwafanya kuwa giants wa uchumi wetu si ndiyo hii tunayosikia kwamba mafisadi wakiguswa nchi itayumba itakuwa order of the day?
Kwanini lakini Rais wetu anakosa huruma na sisi watu wake? Okay hasikii sauti zetu wachache lakini je ushuhuda wa maisha ya wabongo wengi walio katika ajira za hawa 'wawekezaji uchwara' si kelele tosha kumfanya aache kwanza atafakari niwapi tumepotoka?