Utakutaka mchangiaji alikuwa magwanda, anachangia utumbo na huyo Mzee akaamuwa kususa!
Kawaida kususa kwa jinsi hii ni hatari! Serikali ilipoamua kujiondoa kwenye biashara wenyewe wanatumia 'hands off' ikafanya makosa makubwa ya kuwa hands and eyes off! Matokeo yake watz wote wanaona jinsi rasilimali za nchi hii zimegeuzwa shamba la bibi. NInachosema hapa ni kwamba hata kama mchangiaji angekuwa magwanda, bado mzee mzima alipaswa kuwa macho.... badala ya kukoroma kwa ajili ya dawa za mafua!
they have nothing to do with me! Ila naona kero kitu hicho hicho kurudiwa kila siku!
Napenda kuona vitu vipya na wala si duplicates!
Mnatujazia tu server! Hiz zilishajadiliwa hapa sana!
Yaani kama kuna siku ambayo Wasirra anatamani ingekuwa deleted kwenye rekodi za dunia ni hii hapa! Naanza kumuonea huruma sasa,imetosha jamani!
Lowasa anamcheki best wake anavyochapa usingizi mbele ya halaiki. Ukiwa mfalme watu hawakosi kukukodolea macho, hapa umati wote hawajui anayelala usingizi usiku hana muda wa kutumia kitanda hcake?
jamani msinichekeshe mtafanya jf ifungiwe jinsi mnavyoweka mambo hadharani.
mkuu wa kaya mngemsitiri kidogo.