Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
- Thread starter
- #41
Pole sana masaki, katika maisha ni kawaida kutendwa ni wengi tu wamepitia huko na imekuwa kama ka mchezo huyu anamuumiza huyu, yule nae anaumiza kule basi tu mradi vurugu. Chukulia ni sawa sawa na kuumwa malaria yaani sio kitu cha ajaaaaaaaabu. Jichanganye na marafiki usipende kukaa peke yako utaona baada ya muda mfupi hiyo hali itapita.
Asante Maty...! Hapo kwenye bluu nadhani kutanisaidia sana.