Pole mkuu,
nakushauri hivi
1 kwa vile wanaume wengi ni wazito kueleza lililo moyoni (baada ya kuumizwa) kwa wanaume wenzao wengi hukimbilia kwa w'ke ambao w'ke hao hutumia nafasi ya 'huruma' kuanzisha uhusiano mpya wkt mwingi haudumu
2 w'me wengi hukimbilia kuziba pengo kwa kutafuta m badala . Ni kosa,sawa na kufunga kidonda baada tu ya kuumia kabla hujachunguza vzr na kukisafisha
3 kubali maumivu mpaka yapoe kisha angalia wapi ulikosea
4 msamehe haraka maana baya+baya madhara yake yatakua makubwa na kwa muda mrefu
5 acha ulevi(km mlevi)kwa kipindi hiki kumbuka mapenzi yanapoisha maisha yanaendelea.na mimi yamenikuta bado nina kidonda mkuu tupo wengi
Mbu unahitaji faraja ya nini tena wakati we unakula mbivu sasa hivi?!...Ubarikiwe sana. Ni saa sita usiku hapa nilipo, hii post imenifariji, acha nirudi tena kulala.
Hapati kitu, watu tupo ndani ya neti then neti zina ngao! thats why thead imemfariji teh!Mbu unahitaji faraja ya nini tena wakati we unakula mbivu sasa hivi?!
Mbu unahitaji faraja ya nini tena wakati we unakula mbivu sasa hivi?!
Pole mkuu, kwa flow ya maneno yako napata picha ya kilio chako tokana na maumivu uliyopitia. Mkuu yawezekana ikawa ni bahati mbaya ktk machaguzi yako thats why imejirudia tena! Nakushauri next time ufanye uchunguzi wa kina na dhati juu aina ya penzi, mapenzi na mpenzi umtakae kuepuka hili kujitokeza mara nyingine tena! then fanya evaluation yako mwenyewe, nahis wawezakua na mapungufu pia!
Ohhhh pole sana Mbu....ila furahi wewe umeshapata wa kukuliwaza!Hehehehe ....kitanda kina baridi!!...najuta kumsoma huyu bwana (i took it personal)...nadhani nilikuwa nime delay some grief...nimekumbukakila aina ya usaliti... hili ni kovu...hata kama limepoa, alama imebakia (haifutiki.)Lizzy kalale,...lol!
Duh! Pole mkuu Mbu, ni mapitio ya kawaida hususani ktk maisha! Hebu jiliwaze kwa damu zetu teh!...najuta kumsoma huyu bwana (i took it personal)...nadhani nilikuwa nime delay some grief...nimekumbukakila aina ya usaliti... hili ni kovu...hata kama limepoa, alama imebakia (haifutiki.)Lizzy kalale,...lol!
Kwenye mahusiano yetu mimi nina mikono misafi kabisa...Tamaa zake tu za kupenda mambo makubwa. Hawajui wanaume yule....! Ataachwa mchana kweupe akishachokwa!
Yaani haya mapenzi kila unapoanza upya unasahau uliopita ulivoumizwa, na hatukomi, kweli hapo ndipo Mungu alipotupatia viumbe wakeMasaki.....................I hope umepata la kupata toka kwa wanajamii humu chumbani. Mwenyezi MUNGU akupe nguvu za kusonga mbele. Lililotokea lichukulie kama ni ngazi towards lililo jema na funzo katika maisha yako ya mahusiano. Ubarikiwe sana kaka yangu.
Mbu, pole!
Yaani haya mapenzi kila unapoanza upya unasahau uliopita ulivoumizwa, na hatukomi, kweli hapo ndipo Mungu alipotupatia viumbe wake
Nakwambia MJ1 anatokea tena mkaka nakwambia anaongea kwa huruma, na kukuhakikishia yeye ndio dawa ya matatizo yako, unajitosa mzimamzima badae unakuja ona anabadilika na kutenda yaleyale, mwee sijui itakuwaje huko mbelen maana miakainavokwenda ndio hali ya mahusiano ya watu yanazidi dororaUmeona shantel? Yaani we acha tu....tunapenda, unaumizwa, unapenda, unaumizwa .........mstari waendelea!! Laiti ingekuwa ukiingia kwenye mapenzi halafu ukaumizwa basi feelings za kupenda nazo zinaondoka milele ingekuwa safi sana lakini unateseka, moyo unapondwa pondwa mpaka unakuwa na viraka kila sehemu.
Jamani.............. ah
Nakwambia MJ1 anatokea tena mkaka nakwambia anaongea kwa huruma, na kukuhakikishia yeye ndio dawa ya matatizo yako, unajitosa mzimamzima badae unakuja ona anabadilika na kutenda yaleyale, mwee sijui itakuwaje huko mbelen maana miakainavokwenda ndio hali ya mahusiano ya watu yanazidi dorora
...dah, waweza jihisi kama umeharibiwa maisha kumbe, 'likuepukalo lina heri na wewe'...usilaumu yaliyotokea, furahia yametokea kabla hujajifunga na pingu ya maisha.
Pole sana bro Masaki.