babu yangu analalamika sana
Laki 3 kila miezi sita,imekatwa tena.Si wangejipunguzia mishahara yao?Sasa wanawakata wazee wa watu just because hakuna wa kuwakingia kifua.
Katika kile kinachoonekana sasa serikali imefilisika, imewakata nusu ya pensheni ya wastaafu ya mwezi February.
Kwa mfano wastaafu wengi hupokea sh 300,000 kila baada ya miezi sita. Sasa wamepewa 150,000/=!.
Je, babu yako hana mchango kwa yanayotokea?
Nauliza kwani niliwaona wazee wengi wakitoka CCM Kirumba tarehe 5.2.2012 wakionesha uso wa furaha na kushangilia kwa vigelegele haya ndiyo matokeo yake
mwanaasha ana-stress.
nani aliwaambia wapunguze kodi kwenye migodi.?