Hivi leo ukoje wewe Filipo?
Wanakuja kulala kwangu ili iweje?
Unataka kuniudhi sasa...lol!!
Babu DC!!
Pigeni mapicha ya kukinga,sasa hyo tar 28 si siku ya kazi au nyie wote mmejiajiri au mmeomba likizo ya wiki? Angalieni msije mkasaliti relation zenu na wapenzi mliowaacha nyumbani.
Waweke servant quarter walale ili wasitusumbue sie na wake zetu! Wajukuu hawa wasumbufu sana, lazima tufikirie namna ya kulinda ndoa zetu!
Karibu sabasaba mkuu.
Ha ha haaa!King Kong III itabidi watoto watakaozaliwa mwakani wakati kama huu wote wapewe majina hapa hapa jamvini.
"Hakuna kilichoharibika!
Si umeona sasa eeh?...kwahiyo?"
Hicho kinaitwa kihoro...au siye huku Tanga huwa twakiita kiroho papo...muda utafika tu best!!
Karibuni Tanga
Bora hapa umeongea kwa adabu....
Sijui ulikuwaje hapo awali.....
Please siku zote kumbuka kuwa huyu unayongea naye ni retireg Maj Gen, ....sawa Filipo??
Mkumbushe na Lily Flower kuwa huku wengi wetu ni nyuki wa bucha...lol
Babu DC!!
Bora hapa umeongea kwa adabu....
Sijui ulikuwaje hapo awali.....
Please siku zote kumbuka kuwa huyu unayongea naye ni retireg Maj Gen, ....sawa Filipo??
Mkumbushe na Lily Flower kuwa huku wengi wetu ni nyuki wa bucha...lol
Babu DC!!
sijui kama atafurukuta hapa kwangu