Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana

kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili

Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda

ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu

Siasa ina mengi sana

Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome

JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui

ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera

ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais

ndie alie deal na Kighoma Malima n.k

pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana

Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao

Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao

JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Awapi kwamba wenzie wangefanya vibaya kuliko yeye?
 
Ilikuwaje kwenye uongozi wake akakumbwa na kashfa za ufisadi mkubwa?
Escrow, Richmond, umeme wa Tegeta ile 300B?
Binafsi nimejikita jinsi Kikwete alivyoshughulikia fisadi mkubwa Proffessor Kighoma Malima waziri wa fedha muislamu mwenzie aliyekuwa fisadi mkubwa akijificha kwenye uswalihina wa Kiislamu Kikwete akamgundua kuwa yule fisadi anajificha kibla na misikitini akifisadi mbio anakimbilia misikitini na kujifanya imamu akiporomosha Aya za Allah kwa waislamu wanavyoonewa Tanzania Wakati pesa za kifisadi tayari zimeingia Akaunti zake nje ya nchi

Kikwete akamchomoa kibla na kushugulika naye bila kujali yeye imamu yuko kibla akitiririka Aya za kuruani

Mengine sijui
 
Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana

kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili

Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda

ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu

Siasa ina mengi sana

Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome

JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui

ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera

ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais

ndie alie deal na Kighoma Malima n.k

pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana

Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao

Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao

JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Jk alivyo deal na Kighoma, Nyerere hakuwa kwenye madaraka, Raisi alikuwa Hassan, hivyo JK kuwa Makonda wa Awamu ya Nyerere hiyo haipo.
 
Jk alivyo deal na Kighoma, Nyerere hakuwa kwenye madaraka, Raisi alikuwa Hassan, hivyo JK kuwa Makonda wa Awamu ya Nyerere hiyo haipo.
Nyerere alivyozima hoja ya Serikali tatu chini ya G55 ambayo ilishamshinda Mwinyi na Malecela alikuwa Rais?

Nyerere alivyoratibu kukatwa kwa jina la Malecela na Lowassa 1995 alikuwa ni Chairman wa CCM?
Baada ya Jk kumshinda Mkapa na Msuya kabla matokeo kutangazwa akaibuka na hoja ya kura zirudiwe kati ya Mkapa na Jk alikuwa Chairma wa Ccm?

Vijana wengi hamuwezi kujua nguvu aliyokuwa nayo Kambarage hadi anaondoka Duniani

JKs wote wawili walikuwa na katabia flani hivi

wanaweza wakalia hadharani kumbe wanacheka na wanaweza wakacheka hadharani kumbe wanalia
 
Niliona Ile hotuba kupitia TBC baada ya Mkapa kutangazwa mshindi 1995 Kikwete aliongea hotuba Moja mzuri sana. Kiasi Cha kufanya Mwalimu Nyerere asimame kupiga makofi na ukumbi mzima ukamfuta Nyerere kusimama na kupiga makofi. Marehemu Mkapa akakimbia kwenda kumkumbatia Jakaya kwa hisia kali kama mtoto anayenyonya aliyekosa kumuona mama yake siku mbili. Jakaya was matured but at that time Nyerere alikuwa sahihi juu ya kumpa Marehemu Mkapa. Jakaya alihitaji kukua zaidi.
Kwenye hiyo hotuba Jakaya aliongea nini? Mbona unatupa kazi ya kupatwa hisia bila sababu🤣
Weka japo Summary Mkuu.
 
Niliona Ile hotuba kupitia TBC baada ya Mkapa kutangazwa mshindi 1995 Kikwete aliongea hotuba Moja mzuri sana. Kiasi Cha kufanya Mwalimu Nyerere asimame kupiga makofi na ukumbi mzima ukamfuta Nyerere kusimama na kupiga makofi. Marehemu Mkapa akakimbia kwenda kumkumbatia Jakaya kwa hisia kali kama mtoto anayenyonya aliyekosa kumuona mama yake siku mbili. Jakaya was matured but at that time Nyerere alikuwa sahihi juu ya kumpa Marehemu Mkapa. Jakaya alihitaji kukua zai

Ile hotuba na reaction ya Nyerere ndio kinanifanya mpaka Leo kusema "KIFUA CHA JK KIMEBEBA MENGI SANA YA NCHI HII YA NDANI SANA"
 
Naona zimeanza kugeuzwa stories baada ya hayati kutajwa na kila mtu kua hakua na ubaya wala usaliti. Zimefufuliwa makala za kumsafisha aliechafuka kwenye msiba.

Kiukweli hata Mkwere mwenyewe moyo na nafsi vinamsuta kwa aliyoyafanya kwa Lowassa..

Waliyafanya kwa Mkapa,akaja akayafanya kwa Lowassa, nafikiri pia akayafanya kwa Magufuli.
Unachuki binafsi wte awe na sababu za kuwachukia
 
Huu uongo wa kitoto sana.BMW alikuwa ni kipenzi cha mwalimu kwa urais wa JMT baada ya Dr Salim,hiyo sababu dhahania haiwezi kutosha kumuondoa BMW moyoni mwa mchonga
Sio kwel mgombea wa mwalim alikua Ahmed salim baada ya mkapa kumfuata kumueleza kuwa anautaka urais basi mwl akaona amuunge mkono kwasababi alikua Hana makundi wala makando kando

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Tuliokuwa ndani ya UV CCM wakati huo tunafahamu mengi sana

kama Mama Anna Makinda angeamua kuandika kitabu au kuandika ya nyuma ya pazia angeliandika vyema sana hili

Mwalimu alimwita Anna Makinda na kuna ujumbe aliotumwa binafsi kwa Jakaya na JK kabaki na siri hiyo nadhan hajawahi kuiweka hadharan aliambiwa nini na Anna Makinda

ni kama vile Mama Getrude Mongela alipopewa ujumbe rasmi na Mwalimu ampelekee Ndugu Ally Hassan Mwinyi 1985 muda mchache kabla ya uchukuaji fomu

Siasa ina mengi sana

Hatujui kwanini Jakaya baada ya kushinda kwny CCM 1995 iliamriwa kura zipigwe tena na baada ya hapo akaomba fursa azungumze japo vijana wenzie tulitamani agome

JK alikuwa Makonda wa Mwl Nyerere kwa mliokuwa hamjui

ndie alikuwa Katibu wa vikao vyote vya vita ya Kagera

ndie alietumwa kumshawishi Salim agombee Urais

ndie alie deal na Kighoma Malima n.k

pengine alipewa maelekezo maalum kuhusu Monduli maana hata Edward Moringe alitajwa sana kuwa Mrithi wa Mwalimu na ikashindikana

Hayati Jaka Mwambi aliekuwa Balozi wetu Russia na Msiri wa JK angeweza kuandika kitabu kizuri kuhusu Siasa za Wanamtandao

Huwezi kuzungumza rafu na makando kando ya Wanamtandao bila ya kuwataja Viongozi wa Wanamtandao

JK angelegea na kuruhusu kuachia Nchi wana Mtandao angelaaniwa na kila kiumbe kinachopata sunlight
Umeeleza vyema sana mkuu

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Awapi kwamba wenzie wangefanya vibaya kuliko yeye?
Nahisi japo sina uhakika kuwa Wewe ni kijana na pengine 2007 wakati wa kashfa ya Richmond ulikuwa mdogo

kasome report ya Richmond na uhusika wa kila mmoja ndio utajua kwanini hadi leo hakuna hata mmoja aliweza kumjibu kwa hoja kuanzia ndani ya Bunge hadi nje ya Bunge Dr Harrison Mwakyembe

Mwakyembe alitendea haki sana taaluma yake ya Uandishi wa uchunguzi na Sheria

oamoja na wingi wa wapambe hadi leo…kuhusu ile report wote walikuwa wanasema No comment na wote waliohusika waliishia kujiuzulu badala ya kujibu hoja
 
Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Kaka Pohamba endelea kutupa Historia.
👉 Kipindi Cha uteuzi was magu, wakati wa utawala na Kash Kash zote.
 
Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Watu mmeiva,,

Shusha nondo chief,,


Baada ya kusoma hapa nimegundua kitu,,,


Humu kuna watu bendera hufata upepo,,,
 
Back
Top Bottom