Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Ni vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakarta Kikwete (Waziri wa Fedha)

JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.

Ni uongo kuonesha JK alionewa.

Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".

Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.

Wasalaam!
Maelezo sahihi haya! Shukran.
 
Ni vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakarta Kikwete (Waziri wa Fedha)

JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.

Ni uongo kuonesha JK alionewa.

Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".

Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.

Wasalaam!
Najua hauna kumbukumbu za idadi halisi ya kura alizopata kila mgombea zaidi ya kutajiwa fulani kapata asilimia fulani na hujawahi kujiuliza kwa nini?
 
Kwa hiyo tuseme toka moyoni jk chaguo lake ama mbadala wake alikua Jpm?
Rejea hotuba za Magufuli

nakukumbusha tu

alisema hadharani hakuwa na Mpango wa kuchukua fomu ila alienda Ikulu kumshtaki Saada Mkuya kwa kutompa pesa za kulipa wakandarasi 900 billion , Jk akamuuliza Wewe huchukui fomu ?akamuuliza ninatosha ? akamjibu Wewe kachukue kutosha au kutotosha tutajua Sisi

Hapo maana yake Rais alikuwa na Plan Kadhaa kutokana na yatakayojiri

waki react hivi itakuwa hivi na jinsi walivyo react wakaamua kadri walivyoamua na iliyobaki ni historia

Sina uhakika ila ninaamini

Jakaya, Mkapa, Mangula na Kinana walikaa kama kamati kuamua nani awe nani kwa kutumia report na ushauri wa Mamlaka za kiuchunguzi na pale Dodoma walienda kutekeleza tu maamuzi maana hata Mgombea mwenza Samia anatuambia Kamati kuu walikuwa wanakula biscuit wakati vingunge wanakamilisha taratibu kupitia chumba maalum
 
Najua hauna kumbukumbu za idadi halisi ya kura alizopata kila mgombea zaidi ya kutajiwa fulani kapata asilimia fulani na hujawahi kujiuliza kwa nini?
Kama wewe unazo kumbukumbu, weka hapa, ili kuni-prove wrong.

Ila kumbukumbu ya kuwa JK hakuzidi 51% ziko wazi kwa 1995 kama ambavyo alivyowazidi Mwandosya na SAS kwenye duru ya kwanza ziko wazi.

Uwezo wa BWM kwa aliyofanya, yana-prove, alikuwa na Rais mwenye merits.
 
Ni kweli alimshughulikia Kighoma Malima barabara

Ufisadi fisadi wa kwanza mkubwa alikuwa waziri alikuwa Kighoma Malima mtu wa swala Tano ila fisadi hatari na sigda yake usoni na swala Tano akiwa waziri wa Fedha mikashfa kibao ya kifisadi

Raisi Mwinyi akaona atafute mtu serious kweli akampa Kikwete uwaziri wa fedha na akamtoa Kighoma Malima na akampa Kikwete , Kikwete alimshughulikia barabara bila kujali ni mtu wa Pwani mwenzie au Muislamu mwenzie account zake nje alikoficha pesa Kighoma Malima alisafiri hija kumbe anaenda kutaka kukimbia nchi akatoe pesa kule kaweka nje akaenda hija na nyumba ndogo bi mdogo kisha akaenda huko ulaya atoe pesa wale maisha ulaya huko akakuta Kikwete waziri wa fedha kazipiga pin Akaunti Zote hakuna pesa ya kutoa

Akapata presha akafa wakarudisha kuzika Tanzania Kwa hasira familia yake waliogoma hawakutaka Serikali ihusike Hadi Mwanawe mkuu wa mkoa Sasa hivi alitorokea upinzani

Kikwete ndio alikuwa waziri wa kwanza Enzi hizo kupambana na fisadi mkubwa Malima aliyekuwa waziri wa fedha Kabla yake

Kwa Hilo apewe hongera na maua yake
Siyo JK alihusika hapo. Ni UK na kuna sababu za ugomvi kati ya UK na Kighoma.
 
Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Kando ya Kambarage. Mkwere ni nguli wa siasa za Tanzania watoto wadogo hawawezi kulielewa hili.
 
Rejea hotuba za Magufuli

nakukumbusha tu

alisema hadharani hakuwa na Mpango wa kuchukua fomu ila alienda Ikulu kumshtaki Saada Mkuya kwa kutompa pesa za kulipa wakandarasi 900 billion , Jk akamuuliza Wewe huchukui fomu ?akamuuliza ninatosha ? akamjibu Wewe kachukue kutosha au kutotosha tutajua Sisi

Hapo maana yake Rais alikuwa na Plan Kadhaa kutokana na yatakayojiri

waki react hivi itakuwa hivi na jinsi walivyo react wakaamua kadri walivyoamua na iliyobaki ni historia

Sina uhakika ila ninaamini
Jakaya, Mkapa, Mangula na Kinana walikaa kama kamati kuamua nani awe nani na pale Dodoma walienda kutekeleza tu maamuzi maana hata Mgombea mwenza Samia anatuambia Kamati kuu walikuwa wanakula biscuit wakati vingunge wanakamilisha taratibu kupitia chumba maalum
Sasa kama ni hivyo mbona walikuja kuhitilafiana kiasi kile, mbaya, kwa nini yule hakuonyesha shukurani aliye kutangulia kwa vile alipita kwa nasibu kiasi hiko.
 
Jakaya Kikwete alikuwa pale CCM Singida na baadaye huko Mtwara ndipo alipofanyiwa lobbying kwa Mzee Mwinyi na swahiba wake hayati Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ndipo alipoteuliwa na Mzee Mwinyi kuwa Naibu Waziri !!

Hii maneno ya kuwa alikuwa karibu sana na Mwalimu sijawahi kusikia hii kitu kabisaaa !! 😅🙏🙏
 
Rejea hotuba za Magufuli

nakukumbusha tu

alisema hadharani hakuwa na Mpango wa kuchukua fomu ila alienda Ikulu kumshtaki Saada Mkuya kwa kutompa pesa za kulipa wakandarasi 900 billion , Jk akamuuliza Wewe huchukui fomu ?akamuuliza ninatosha ? akamjibu Wewe kachukue kutosha au kutotosha tutajua Sisi

Hapo maana yake Rais alikuwa na Plan Kadhaa kutokana na yatakayojiri

waki react hivi itakuwa hivi na jinsi walivyo react wakaamua kadri walivyoamua na iliyobaki ni historia

Sina uhakika ila ninaamini
Jakaya, Mkapa, Mangula na Kinana walikaa kama kamati kuamua nani awe nani na pale Dodoma walienda kutekeleza tu maamuzi maana hata Mgombea mwenza Samia anatuambia Kamati kuu walikuwa wanakula biscuit wakati vingunge wanakamilisha taratibu kupitia chumba maalum
Kuweka rekodi sawa hata Mama Samia akipofuatwa na Kikwete kuwa awe mgombea mwenza wa Raisi Magufuli alikataa hakuwa na mpango Kabisa Hadi alilia kukataa
Akaambiwa tunakupa taarifa tu safari mgombea mwenza CCM tunataka wanawake mumeshakomaa kiongozi Wewe umeshakuwa Hadi Spika bunge la katiba tunakutaarifu tu Wewe ndie utakuwa mgombea mwenza ukikwama utasaidiwa Chama, Serikali wasaidizi wako wa kutosha akajaribu kusema aka sitaki akasikia tu mgombea mwenza safari hii Mwanamke Kwa mara ya kwanza Toka Tanzania ipate uhuru makofi yakarindima kuwa tunakubali mengine Historia mama Samia huyo anachapa kazi halali
 
Ni kweli alimshughulikia Kighoma Malima barabara

Ufisadi fisadi wa kwanza mkubwa alikuwa waziri alikuwa Kighoma Malima mtu wa swala Tano ila fisadi hatari na sigda yake usoni na swala Tano akiwa waziri wa Fedha mikashfa kibao ya kifisadi

Raisi Mwinyi akaona atafute mtu serious kweli akampa Kikwete uwaziri wa fedha na akamtoa Kighoma Malima na akampa Kikwete , Kikwete alimshughulikia barabara bila kujali ni mtu wa Pwani mwenzie au Muislamu mwenzie account zake nje alikoficha pesa Kighoma Malima alisafiri hija kumbe anaenda kutaka kukimbia nchi akatoe pesa kule kaweka nje akaenda hija na nyumba ndogo bi mdogo kisha akaenda huko ulaya atoe pesa wale maisha ulaya huko akakuta Kikwete waziri wa fedha kazipiga pin Akaunti Zote hakuna pesa ya kutoa

Akapata presha akafa wakarudisha kuzika Tanzania Kwa hasira familia yake waliogoma hawakutaka Serikali ihusike Hadi Mwanawe mkuu wa mkoa Sasa hivi alitorokea upinzani

Kikwete ndio alikuwa waziri wa kwanza Enzi hizo kupambana na fisadi mkubwa Malima aliyekuwa waziri wa fedha Kabla yake

Kwa Hilo apewe hongera na maua yake
Ilikuwaje kwenye uongozi wake akakumbwa na kashfa za ufisadi mkubwa?
Escrow, Richmond, umeme wa Tegeta ile 300B?
 
Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Umemwaga nondo ile balaaaaaa..
 
Back
Top Bottom