Haya wale Bana Kongo (Bandeko Nangai) Wenzangu hapa JamiiForums Msaada tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa na Umasikini wangu Ulionitukuka.

Hapa nilipo sasa nausikiliza Wimbo mtamu wa Magie (Magic) ulioimbwa na Koffi Olomide ila kuna sehemu navutiwa nayo kuanzia dakika ya 7 na Sekunde ya 44 ambako Kinanda na Solo Gitaa vinapigwa kwa Ustadi Mkubwa huku Waghani / Marapa (kwa Kikongo Atalakus) akina Mboshi Bola na Mwenzake Parabolique wakihanikiza vilivyo kiasi kwamba huwezi Kukaa utaamka tu Kuucheza.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawaombeni Msaada wa Kuwajua waliokuwa Wapiga hicho Kinanda Kitamu na hilo Gitaa Zuri katika huo Wimbo wa Maggie wake Koffi Olomide na Bendi yake ya Quarter Latin.

Tafadhali kama unajijua Wewe siyo Bana Kongo (Bandeko Nangai) na mpenda Nyimbo za Congo DR na Misebene yao usipoteze muda wako Kuchangia huu Uzi wangu na waachie tu wale Niliowalenga na Walionielewa.
 
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa na Umasikini wangu Ulionitukuka.

Hapa nilipo sasa nausikiliza Wimbo mtamu wa Magie ( Magic ) ulioimbwa na Koffi Olomide ila kuna sehemu navutiwa nayo kuanzia dakika ya 7 na Sekunde ya 44 ambako Kinanda na Solo Gitaa vinapigwa kwa Ustadi Mkubwa huku Waghani / Marapa ( kwa Kikongo Atalakus ) akina Mboshi Bola na Mwenzake Parabolique wakihanikiza vilivyo kiasi kwamba huwezi Kukaa utaamka tu Kuucheza.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawaombeni Msaada wa Kuwajua waliokuwa Wapiga hicho Kinanda Kitamu na hilo Gitaa Zuri katika huo Wimbo wa Maggie wake Koffi Olomide na Bendi yake ya Quarter Latin.

Tafadhali kama unajijua Wewe siyo Bana Kongo ( Bandeko Nangai ) na mpenda Nyimbo za Congo DR na Misebene yao usipoteze muda wako Kuchangia huu Uzi wangu na waachie tu wale Niliowalenga na Walionielewa.

Kinanda kapiga Phillips Guez na hilo solokacheza Lebou Kabuya..bass Blanchard Miantezolo Rocky
 
Kinanda kapiga Phillips Guez na hilo solokacheza Lebou Kabuya..bass Blanchard Miantezolo Rocky
Shikamoo Mkuu na Salute sana Kwako Bana Kongo na Bandeko Nangai Wenzangu / Mwenzetu hapa JamiiForums.

Kwanini huyu Keyboardist Phillip Guez aliachana na Koffi Olomide baada ya Kuitendea vyema Album niliyoipenda na naipenda mpaka leo ya Effrakata?
 
Shikamoo Mkuu na Salute sana Kwako Bana Kongo na Bandeko Nangai Wenzangu / Mwenzetu hapa JamiiForums.

Kwanini huyu Keyboardist Phillip Guez aliachana na Koffi Olomide baada ya Kuitendea vyema Album niliyoipenda na naipenda mpaka leo ya Effrakata?

Binafsi sifahamu sababu, ila kashiriki kwenye album Karibu zote za Koffi zilizotoka 90’.
Kwangu namkubali kama best keyboardist wa pili baada ya Manu Lima.
Hawa wawili wamefanya kazi na wasanii wengi sana.
 
Binafsi sifahamu sababu, ila kashiriki kwenye album Karibu zote za Koffi zilizotoka 90’.
Kwangu namkubali kama best keyboardist wa pili baada ya Manu Lima.
Hawa wawili wamefanya kazi na wasanii wengi sana.
Nadhani yeye ndo alicheza keyboards kwenye Ya Jean ya Madilu System.Jamaa yupo vizuri Sana.
 
Nadhani yeye ndo alicheza keyboards kwenye Ya Jean ya Madilu System.Jamaa yupo vizuri Sana.

Ndio Ya Jean ni mkono wa Manu Lima na mwanzoni Madilu anamtaja.
Pia huyu ndiye aliwatoa kimuziki mfalme wa Zouk “Oliver N’Goma” na malkia wa Zouk “Monique Seka” na solo career ya Madilu
Pia kapiga na Pepe Kalle, Koffi etc.
 
Binafsi sifahamu sababu, ila kashiriki kwenye album Karibu zote za Koffi zilizotoka 90’.
Kwangu namkubali kama best keyboardist wa pili baada ya Manu Lima.
Hawa wawili wamefanya kazi na wasanii wengi sana.
Je, una Maoni gani kuhusu aliyekuwa Keyboardist wa Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae Theo Bindens na hawa Wawili alionao sasa akina Geremi Kitubu na Cedric Geza?
 
Je, una Maoni gani kuhusu aliyekuwa Keyboardist wa Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae Theo Bindens na hawa Wawili alionao sasa akina Geremi Kitubu na Cedric Geza?

Ahhaha naona umeenda kwa msanii wako pendwa JB MPIANA na band yake. Kwangu mimi muziki wa zamani ulikuwa na ubunifu mkubwa zaidi…Theo kafanya makubwa sana kuibeba Wenge ya JP pia hata katika kazi za wasanii wengine kama Carlyto Lassa ( Congolese Golden Voice) Aimelia Lias na wengine wengine. So, Hawa wa sasa hivi wanafanya mambo ya kawaida sana.
 
Ahhaha naona umeenda kwa msanii wako pendwa JB MPIANA na band yake. Kwangu mimi muziki wa zamani ulikuwa na ubunifu mkubwa zaidi…Theo kafanya makubwa sana kuibeba Wenge ya JP pia hata katika kazi za wasanii wengine kama Carlyto Lassa ( Congolese Golden Voice) Aimelia Lias na wengine wengine. So, Hawa wa sasa hivi wanafanya mambo ya kawaida sana.
Kwako Wewe kwa sasa kati ya Marapa ( Atalakus ) Kirikou wa Koffi Olomide na Fusee De Guere wa JB Mpiana ( huku Mkongwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Lisimo ) akiwa hana Mpinzani nani ni bora Kwako?
 
Kwako Wewe kwa sasa kati ya Marapa ( Atalakus ) Kirikou wa Koffi Olomide na Fusee De Guere wa JB Mpiana ( huku Mkongwe GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Lisimo ) akiwa hana Mpinzani nani ni bora Kwako?

Haahha kwamba huna mpinzani !! Kati ya hao wawili nachagua Kirikou.
Ila ukinipa nafasi ya kutaja atalakus wangu bora wa muda wote nitasema pia.
 
Haahha kwamba huna mpinzani !! Kati ya hao wawili nachagua Kirikou.
Ila ukinipa nafasi ya kutaja atalakus wangu bora wa muda wote nitasema pia.
Nitajie hao Marapa ( Atalakus ) wako Bora na ole wako usimtaje GENTAMYCINE ( Pitshou Lisimo ), Tutu Caludgi ( Yombo Lumbu ) na Bileku Mpasi ( Djouna Mombafu ) utanitambua......!!
 
Nitajie hao Marapa ( Atalakus ) wako Bora na ole wako usimtaje GENTAMYCINE ( Pitshou Lisimo ), Tutu Caludgi ( Yombo Lumbu ) na Bileku Mpasi ( Djouna Mombafu ) utanitambua......!!

1. 3615 Code Niawu
2. Nono Monzuluku
3. Djuna Mumbafu
4. Doudou Adoula
5. Roberto Ekokota
6. Tutu Caludji
7. Lapino
8. Theo Mbala
9. Shimita El Diego
10. Bill Clinton
 
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa na Umasikini wangu Ulionitukuka.

Hapa nilipo sasa nausikiliza Wimbo mtamu wa Magie ( Magic ) ulioimbwa na Koffi Olomide ila kuna sehemu navutiwa nayo kuanzia dakika ya 7 na Sekunde ya 44 ambako Kinanda na Solo Gitaa vinapigwa kwa Ustadi Mkubwa huku Waghani / Marapa ( kwa Kikongo Atalakus ) akina Mboshi Bola na Mwenzake Parabolique wakihanikiza vilivyo kiasi kwamba huwezi Kukaa utaamka tu Kuucheza.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawaombeni Msaada wa Kuwajua waliokuwa Wapiga hicho Kinanda Kitamu na hilo Gitaa Zuri katika huo Wimbo wa Maggie wake Koffi Olomide na Bendi yake ya Quarter Latin.

Tafadhali kama unajijua Wewe siyo Bana Kongo ( Bandeko Nangai ) na mpenda Nyimbo za Congo DR na Misebene yao usipoteze muda wako Kuchangia huu Uzi wangu na waachie tu wale Niliowalenga na Walionielewa.
Raha ya mziki wa kicongo uwe unashushia na Tungi mdogo mdogo☺️😊🤓
 
1. 3615 Code Niawu
2. Nono Monzuluku
3. Djuna Mumbafu
4. Doudou Adoula
5. Roberto Ekokota
6. Tutu Caludji
7. Lapino
8. Theo Mbala
9. Shimita El Diego
10. Bill Clinton
Huna Adabu kabisa Wewe yaani GENTAMIYCINE hayuko? Nakata rufaa hadi umuweke.
 
Haahha kwamba huna mpinzani !! Kati ya hao wawili nachagua Kirikou.
Ila ukinipa nafasi ya kutaja atalakus wangu bora wa muda wote nitasema pia.

Kuna Emery Mbonda wa Extra musica, kwenye ile album ya Etat Major kafanya makubwa sana.
 
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa na Umasikini wangu Ulionitukuka.

Hapa nilipo sasa nausikiliza Wimbo mtamu wa Magie ( Magic ) ulioimbwa na Koffi Olomide ila kuna sehemu navutiwa nayo kuanzia dakika ya 7 na Sekunde ya 44 ambako Kinanda na Solo Gitaa vinapigwa kwa Ustadi Mkubwa huku Waghani / Marapa ( kwa Kikongo Atalakus ) akina Mboshi Bola na Mwenzake Parabolique wakihanikiza vilivyo kiasi kwamba huwezi Kukaa utaamka tu Kuucheza.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawaombeni Msaada wa Kuwajua waliokuwa Wapiga hicho Kinanda Kitamu na hilo Gitaa Zuri katika huo Wimbo wa Maggie wake Koffi Olomide na Bendi yake ya Quarter Latin.

Tafadhali kama unajijua Wewe siyo Bana Kongo ( Bandeko Nangai ) na mpenda Nyimbo za Congo DR na Misebene yao usipoteze muda wako Kuchangia huu Uzi wangu na waachie tu wale Niliowalenga na Walionielewa.
GENTAMYCINE oza na mayele Mingi
 
Back
Top Bottom