katika hali isiyo ya kawaida mh mkubwa kutembelea marekani na katika pita pita akaona ghorofa moja halina umeme mala akasema na huku kwenu kuna mgao akajibiwa kua ni ofisi za ubalozi wa tanzania ndo hakuna umeme
kalale tu ndugu yangu.
maana sasa unaanza kuweka thread mahala si pake,
Ungemshauri basi aiweke wapi.
katika hali isiyo ya kawaida mh mkubwa kutembelea marekani na katika pita pita akaona ghorofa moja halina umeme mala akasema na huku kwenu kuna mgao akajibiwa kua ni ofisi za ubalozi wa tanzania ndo hakuna umeme