Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
Utakuwa huijui Tanzania wewe, nchi hii sasa imebadilika sana hizo hazifiki 10% ya makazi
Wewe kweli bado hujatembea Tanzania.Utakuwa huijui Tanzania wewe, nchi hii sasa imebadilika sana hizo hazifiki 10% ya makazi
Una umri gani na umetembea sehemu zipi za Tanzania..!?Utakuwa huijui Tanzania wewe, nchi hii sasa imebadilika sana hizo hazifiki 10% ya makazi
Hakika hujatembea, makete,Ludewa tandahimba. Newala, nkasi umefika huko ukaona hali ilivo?Una umri gani na umetembea sehemu zipi za Tanzania..!?
Ludewa hakuna nyumba kama hizo miaka hii. Ludewa tuna chakula cha uhakika kuliko wakazi 20% wa kwa Myamani, tuna huduma za afya za kuaminika kuliko Kinguge Mbagala huko, tunakunywa maji safi kuliko wakazi wa kwa Tumbo, hela anayotoa mkazi wa kwa Lulenge ili kupata ndoo tano za maji sisi tunachota maji safi ya bariiidi ya kutokea msituni kwa mwezi mzima.Hakika hujatembea, makete,Ludewa tandahimba. Newala, nkasi umefika huko ukaona hali ilivo?
Hali ni kama ilivyoelezwa na mtoa mada.. Huyo anayesema hali haipo hivyo ndo wa kuulizwa swali hiliHakika hujatembea, makete,Ludewa tandahimba. Newala, nkasi umefika huko ukaona hali ilivo?
Makete hatuna nyumba za aina hiyo. Kule kumeendelea sana, nyumba zote ni za mabati na vigae, maji safi na salama ya kunywa na umeme pia. Labda Makete ya before 1990.Hakika hujatembea, makete,Ludewa tandahimba. Newala, nkasi umefika huko ukaona hali ilivo?
Staki kushindana maana nilotoka huko sio miaka mingapi mingi, nilipita kijiji kwa kijiji kitongoji kwa kitongojiMakete hatuna nyumba za aina hiyo. Kule kumeendelea sana, nyumba zote ni za mabati na vigae, maji safi na salama ya kunywa na umeme pia. Labda Makete ya before 1990.
Usibishabe na wajinga ..wamishia hapo Ikonda basi wanajua makete ndio iko hivyo yoteStaki kushindana maana nilotoka huko sio miaka mingapi mingi, nilipita kijiji kwa kijiji kitongoji kwa kitongoji
Hizo nyumba zimebaki singida kwa mwigulu na dodoma kwa spika
Jamaa katokelezea kama Diblo Dibala.Sijamuainisha ni nani hapo.Sitaki kesi.😝😝😝😝😝
Hatari kweli hayo ndio maendeleo yenu yanayofanywa na CCM oyeeeeeeeeeeee
We endelea kulalia godoro alilokupa shemeji yako,baada ya dada yako kulalamika akilazwa chali chaga anasikilizia mgongoniUtakuwa huijui Tanzania wewe, nchi hii sasa imebadilika sana hizo hazifiki 10% ya makazi
Wacha kujigurahisha nitajie Wilaya hata moja ambayo makazi yake hata kwa asilimia 30 yako hivyoWewe kweli bado hujatembea Tanzania.
Ndugu tunazurura Tanzania kila siku Kutoka Karema Mpaka Mkinga na Ukerewe mpaka Tunduru nchi watu wameweka Bati mnoUna umri gani na umetembea sehemu zipi za Tanzania..!?
Tuliza Kasesela wewe, unadhani watu wote wanakaa Kinondoni kama wewe wasubiri kuhongwa.. Tunaijua nchi yetuWe endelea kukalia godoro alilokupa shemeji yako,baada ya dada yako kulalamika akilazwa chali chaga anasikilizia mgongoni