Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
1. Mtakula nyasi ndege ya rais inunuliwe - Mramba
2. Graduates msio na kazi ... kafugeni kuku biashara inalipa sana Mahiza
3. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK
4. Acheni wivu wa kike Msekwa
5. Asieweza lipa nauli apige mbizi Magufuli
6. Baada ya kutumia helcopter ya jeshi kwenda nayo kwao urambo "mlitaka nipande punda" Kapuya
7. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia makalio - Masaburi
9. Mnauliza mvua kwani mi waziri wa mvua - Wassira
10. Kura laki tatu za wafanyakazi - JK
11. Hata kama ni ugonjwa mdogo (Sinusitis), kwenda kutibiwa India ni haki yangu kikatiba kama mh. mbunge!
- Z. Kabwe
12. ‎"Wanaopata mimba mashuleni ni kwa sababu ya kiherehere chao" na "......Ukimwi ni ugonjwa wa kujitakia..." - JK
13. Kama unataka kula kubali kuliwa - JK
14. Uchumi mnao lakini mnaukalia - Karume
15. Ukimwi umekaa mahali pabaya .......... - Mwinyi
16. Sijui kwanini Tanzania ni maskini!! - JK
17. Intern si interest ya kitaifa - Mtasiwa (Mganga mkuu wa serikali akizungumzia sakata la Intern Muhimbili
kugoma kutokana na kutolipwa pesa zao za posho kwa miezi kadhaa)
18. Hapa Tanzania daktari anasoma miaka minne na wa tano ndo intern (yaani mafunzo kwa vitendo)
- Mponda (Waziri wa afya na ustawi wa jamii ambaye si daktari wa binadamu (MD)
19. Hizi bilioni ... ni vijisenti tu - Chenge
20. "Msiogope madini ya Uranium kuchimbwa hapa kwenu wilayani Bahi (Dodoma). Madini
yapo mita 3 tu usawa wa bahari, miaka yote hii mbona hamjadhurika?" - Adam Malima (Naibu Waziri wa
Madini na Nishati, akiwatambulisha 'Wawekezaji' kwa wanakijiji)
21. Asiyefanya kazi - afe! - Magufuli
2. Graduates msio na kazi ... kafugeni kuku biashara inalipa sana Mahiza
3. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK
4. Acheni wivu wa kike Msekwa
5. Asieweza lipa nauli apige mbizi Magufuli
6. Baada ya kutumia helcopter ya jeshi kwenda nayo kwao urambo "mlitaka nipande punda" Kapuya
7. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia makalio - Masaburi
9. Mnauliza mvua kwani mi waziri wa mvua - Wassira
10. Kura laki tatu za wafanyakazi - JK
11. Hata kama ni ugonjwa mdogo (Sinusitis), kwenda kutibiwa India ni haki yangu kikatiba kama mh. mbunge!
- Z. Kabwe
12. ‎"Wanaopata mimba mashuleni ni kwa sababu ya kiherehere chao" na "......Ukimwi ni ugonjwa wa kujitakia..." - JK
13. Kama unataka kula kubali kuliwa - JK
14. Uchumi mnao lakini mnaukalia - Karume
15. Ukimwi umekaa mahali pabaya .......... - Mwinyi
16. Sijui kwanini Tanzania ni maskini!! - JK
17. Intern si interest ya kitaifa - Mtasiwa (Mganga mkuu wa serikali akizungumzia sakata la Intern Muhimbili
kugoma kutokana na kutolipwa pesa zao za posho kwa miezi kadhaa)
18. Hapa Tanzania daktari anasoma miaka minne na wa tano ndo intern (yaani mafunzo kwa vitendo)
- Mponda (Waziri wa afya na ustawi wa jamii ambaye si daktari wa binadamu (MD)
19. Hizi bilioni ... ni vijisenti tu - Chenge
20. "Msiogope madini ya Uranium kuchimbwa hapa kwenu wilayani Bahi (Dodoma). Madini
yapo mita 3 tu usawa wa bahari, miaka yote hii mbona hamjadhurika?" - Adam Malima (Naibu Waziri wa
Madini na Nishati, akiwatambulisha 'Wawekezaji' kwa wanakijiji)
21. Asiyefanya kazi - afe! - Magufuli