mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Siku zote umoja na mshikamo ndio nguzo ya Taifa lolote, Taifa lolote likikosa huo umoja linakuwa hatarini na kuwapa maadui wa Taifa hilo nafasi ya kulishinda.
Ndio maana baada ya Maandamano ya wiki kadhaa nyuma huko Israel, Waziro wa Ulinzi wa Israel alimueleza wazo Waziri Mkuu kuwa, kuendelea kwa maandamano hayo( tena ya amani kabis) kulikuwa kunahatarisha usalama wa Taifa la Israel. Japo alifukuzwa lakini Waziri Mkuu alisitisha muswaa uliokuwa umepelekwa bungeni ambao waandamanaji waliona ni ukandamizaji kwa haki na uhuru, maandamano yakasimama. Israel wamezungukwa na washindano na maadui zake ambayo wanashindania ua kugombamia Ardhi na ushawishiri katika Masharikia ya mbali, sio Palestina tu nchi zingine pia za Mashariki ya kati wao wanachukua taadhari na wanawaona ni maadui hata kama kwa nje wanaonekana kuwa mahusiano mazuri kabisa
Narudi hapa kwetu Tanzania, nchi hii imekuwa na ushawishi mkubwa kuanzia miaka ya 60 huko mpaka sasa katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Ukanda wa nchi za Kusini, karibu hapa kidogo tulikuwa kama tumejiweka pembeni lakini tumerudi na ushawishi wetu uko pale pale. Kutoka na ushawishi huo, utajiri wa ardhi, siasa zetu na utulivu tuliokuwa nao wapo ambao ni kwa nje ni marafiki ila maadui zetu wakubwa. Wanatuhusudu kwa neema na nafasi hiyo na wanatamani kutuangusha na kulipoteza taifa hili. Wako waliofikia hatua hata ya kutishia hadharani n.k
Tunakubali kwa miaka ya karibu tumeingia kwenye siasa za makundi makubwa, yakichagizwa zaidi na Ukabila na ukanda. Kunaonekana kuwa na juhudi za kuuzika huu ugonjwa ambao haukuwahi kuwa ugonjwa wetu na kuonywa mara kadhaa na wasisi wetu kuwa ni hatari lakini huenda kuna juhudi ya maaduo zetu kubakikisha tunabaki na ugonjwa wetu kwa maslahi mapaja ya mataifa yao.
Sasa hivi ugonjwa ule umeanza kupanda na kuongoza japo ulianza kutulia kwa juhudi za 'watatibu' wetu wa kitaifa lakini kifo cha Nguli kimeamsha tena ugonjwa tukiwa na hisia kali. Tumeanza tena kunyooshea vidole sisi kwa sisi, tunatuhuamiana , kutiana hasira, kubezana, kuzozana n.k kwa nini? kwa sababu timing ya tukio, akiwa wapi anakaribia kufanya nini, ana kesi na nani, ambaye alionekana kuwa mtu wa karibu na kutumika na fulani.
Je, kuna anayewaza anaweka aduai yetu ametumia hii fursa kuendeleza na kuzidi kuchochea siasa za ukabila, kanda visasi n.k? Kama adui anayetufatilia kwa muda mrefu, mwenye mipango ya muda mrefu, anayefaidika na kuparaganyika na taifa letu kwa maslahi mapana ya kwake hatuoni hiyo ndio perfect timing? Kasubiri kesi imetajwa, kasubiri mahakama imetoa hukumu, kasubiri maombi ya maaskofu kuingilia kati na kabla ya siku 14 akaona ni fursa. Kwa sababu lazima kwa mtiririko wa matukio hayo ilete walakini?
Siku ya kwanza Mara waandishi jambo la kwanza anatafutwa Daktari wa familia, Mara tayari kashahijiwa Daktari wa hospitali.
Hii ni INFORMATION WARFARE, huu ni UJASUSI ili kuthibiti na kutaka jamii iende kufikiri au kuona jambo fulani. Upande mmoja tafurahi utasema kumbe bado tupo, mwingine utasema upande ule umefanya, tunacheza ngoma ya adui. Majausi maaduai wenye vyombo vyetu vya Habari , wenye mitandao ya kijamii wananzisha na kuikuza mijadala ya utata kwenye vyombo vyetu na mitandao ya kijamii
UJASUSI sasa hivi umeshika kasi sana kwenye POLITICAL INTERFENCE na INTERFENCE kwenye democratic na political institutions. Nchi maadui zimeweka sana kuingia siasa na mifumo ya kisiasa. Hiki nchi wanacholalamikiwa URUSI na MAREKANI, Mataifa ya Ulaya.
SIkujua kuwa Marehemu aliteuliwa kuwa mshauri wa Masuala ya uhusiano wa kimataifa na usalama.
Je, katika mahusiano yetu ya kimataifa, nchi jirani ni nani ambaye uteuzi wake kuwa mshauri ulikuwa unamletea walakini na kutishia maslahi yake binafsi ya Taifa lake?
Tunanyooshea vidole na hasira nyingi dhidi yetu unaweza kukuta jirani aliyetutembelea juzi juzi ndio kacheza mchezo sisi tuliharibu taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania
Ndio maana baada ya Maandamano ya wiki kadhaa nyuma huko Israel, Waziro wa Ulinzi wa Israel alimueleza wazo Waziri Mkuu kuwa, kuendelea kwa maandamano hayo( tena ya amani kabis) kulikuwa kunahatarisha usalama wa Taifa la Israel. Japo alifukuzwa lakini Waziri Mkuu alisitisha muswaa uliokuwa umepelekwa bungeni ambao waandamanaji waliona ni ukandamizaji kwa haki na uhuru, maandamano yakasimama. Israel wamezungukwa na washindano na maadui zake ambayo wanashindania ua kugombamia Ardhi na ushawishiri katika Masharikia ya mbali, sio Palestina tu nchi zingine pia za Mashariki ya kati wao wanachukua taadhari na wanawaona ni maadui hata kama kwa nje wanaonekana kuwa mahusiano mazuri kabisa
Narudi hapa kwetu Tanzania, nchi hii imekuwa na ushawishi mkubwa kuanzia miaka ya 60 huko mpaka sasa katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Ukanda wa nchi za Kusini, karibu hapa kidogo tulikuwa kama tumejiweka pembeni lakini tumerudi na ushawishi wetu uko pale pale. Kutoka na ushawishi huo, utajiri wa ardhi, siasa zetu na utulivu tuliokuwa nao wapo ambao ni kwa nje ni marafiki ila maadui zetu wakubwa. Wanatuhusudu kwa neema na nafasi hiyo na wanatamani kutuangusha na kulipoteza taifa hili. Wako waliofikia hatua hata ya kutishia hadharani n.k
Tunakubali kwa miaka ya karibu tumeingia kwenye siasa za makundi makubwa, yakichagizwa zaidi na Ukabila na ukanda. Kunaonekana kuwa na juhudi za kuuzika huu ugonjwa ambao haukuwahi kuwa ugonjwa wetu na kuonywa mara kadhaa na wasisi wetu kuwa ni hatari lakini huenda kuna juhudi ya maaduo zetu kubakikisha tunabaki na ugonjwa wetu kwa maslahi mapaja ya mataifa yao.
Sasa hivi ugonjwa ule umeanza kupanda na kuongoza japo ulianza kutulia kwa juhudi za 'watatibu' wetu wa kitaifa lakini kifo cha Nguli kimeamsha tena ugonjwa tukiwa na hisia kali. Tumeanza tena kunyooshea vidole sisi kwa sisi, tunatuhuamiana , kutiana hasira, kubezana, kuzozana n.k kwa nini? kwa sababu timing ya tukio, akiwa wapi anakaribia kufanya nini, ana kesi na nani, ambaye alionekana kuwa mtu wa karibu na kutumika na fulani.
Je, kuna anayewaza anaweka aduai yetu ametumia hii fursa kuendeleza na kuzidi kuchochea siasa za ukabila, kanda visasi n.k? Kama adui anayetufatilia kwa muda mrefu, mwenye mipango ya muda mrefu, anayefaidika na kuparaganyika na taifa letu kwa maslahi mapana ya kwake hatuoni hiyo ndio perfect timing? Kasubiri kesi imetajwa, kasubiri mahakama imetoa hukumu, kasubiri maombi ya maaskofu kuingilia kati na kabla ya siku 14 akaona ni fursa. Kwa sababu lazima kwa mtiririko wa matukio hayo ilete walakini?
Siku ya kwanza Mara waandishi jambo la kwanza anatafutwa Daktari wa familia, Mara tayari kashahijiwa Daktari wa hospitali.
Hii ni INFORMATION WARFARE, huu ni UJASUSI ili kuthibiti na kutaka jamii iende kufikiri au kuona jambo fulani. Upande mmoja tafurahi utasema kumbe bado tupo, mwingine utasema upande ule umefanya, tunacheza ngoma ya adui. Majausi maaduai wenye vyombo vyetu vya Habari , wenye mitandao ya kijamii wananzisha na kuikuza mijadala ya utata kwenye vyombo vyetu na mitandao ya kijamii
UJASUSI sasa hivi umeshika kasi sana kwenye POLITICAL INTERFENCE na INTERFENCE kwenye democratic na political institutions. Nchi maadui zimeweka sana kuingia siasa na mifumo ya kisiasa. Hiki nchi wanacholalamikiwa URUSI na MAREKANI, Mataifa ya Ulaya.
SIkujua kuwa Marehemu aliteuliwa kuwa mshauri wa Masuala ya uhusiano wa kimataifa na usalama.
Je, katika mahusiano yetu ya kimataifa, nchi jirani ni nani ambaye uteuzi wake kuwa mshauri ulikuwa unamletea walakini na kutishia maslahi yake binafsi ya Taifa lake?
Tunanyooshea vidole na hasira nyingi dhidi yetu unaweza kukuta jirani aliyetutembelea juzi juzi ndio kacheza mchezo sisi tuliharibu taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania