Mzee Wa Liverpool
Senior Member
- Jul 18, 2013
- 197
- 22
W. J. Malecela kwa nini kama mnataka serikali mbili wawakilishi wa znz watoe tamko sasa kuwa watarekebisha katiba yao. hakuna haja ya kutumia nguvu. na muwaambie znz kuwa mambo ya muungano yanatakiwa kuwa yanaongezeka sio kupungua.
Ili kuonekana kijana unatakiwa kuongea kwa fact sio kukariri maneno ya nyuma bure bure. sikujua kama wewe ni mwepesi kiasi hiki.pamoja na msimamo wa chama chako ulipaswa kuandika hapa sababu za kupendekeza serikali mbili. vijana tukiwa hivi n aibu jamani.
wanafiki wakubwa nyie, acheni uzandiki wa kishenzi
Last edited by a moderator: