STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Join Date : 3rd May 2012
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received6
Likes Given0
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received6
Likes Given0
Umetumwa kuja kuwaamsha ccm? Kama kweli unapenda mabadiliko, huu siyo muda wa kuwaambia ccm wafanye nini...so what??? Ili waendeleze ufisadi wao na kuangamiza raslimali za taifa kwa makaburu wa ndani na nje ya nchi???? Watu tunataka mbadala wa ccm na si vinginevyo...Anyway...karibu jamvini..