Haya ndio madudu yaliyotokea kwenye usaili tare 15.12.2012, Kinachoendelea UTUMISHI ni kiini macho

Wild fauna

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
461
189
Heshima kwenu wana jamii!
Tarehe 15 nilihudhuria intervew pale duce katika post ya WILDLIFE OFFICER.
Nilishangaa sana kumuona dada mmoja ambaye nilimuacha chuo mwaka jana pale SUA.
Huyu dada amegraduate mwez uliopita,ila hizi nafasi za kazi zilitoka mwez wa 5 na 6.kiukweli nadhani mnajua vigezo vya kuomba kazi hasa serikalini kwamba ni lazma uwe na certificates na sio provision result or transcript.
I wonder huyu dada alipata wapi vyeti? Sababu kama alitumia transcript when she apply the post basi wakati wa intervew alitakiwa awe na FULL CERTIFICATE ili aweze kuingia kwenye intervew.
Wakati wa ukaguzi wa vyeti conditions zilikua uwe na cheti cha kuzaliwa,cha form four,cha form six na university certificate. Sasa huyu mwenzetu amepata wapi cheti cha chuo? Maana aliruhusiwa kufanya mtihan.
Ifahamike kwamba vyeti vya chuo vinachukua muda kutoka,mathalani sie tulimaliza chuo mwaka jana ila vyeti vimetoka mwaka huu mwezi wa 6.
Dada yetu atuambie imekuwaje??
Utumishi kweli mko serious katika hili?
Nimeenda mbali zaidi ku trace background ya huyu dada hajapita hata diploma labda ingetuaminisha kua alitumia vyeti vya diploma.
We have a long way to go...kazi kweli kweli
 
pole sana mdau, hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo saa nyingine inaudhi mpaka unatamani kuimbia nchi yako mwenyewe
 
Mbona kuna jamaa zangu wamemaliza UDSM mwaka huu wako 11 na wote waliitwa kwa nafas zilizotoka NDC?
 
Ni kweli huu si uungwana,hivi kwanini wasitende haki?hali km hii hatuwezi endelea.Watuonea huruma tumesota kutafuta elimu ili tupate ajira kulingana na elimu zetu ila hali bado ni tete.
 
Ni kweli huu si uungwana,hivi kwanini wasitende haki?hali km hii hatuwezi endelea.Watuonea huruma tumesota kutafuta elimu ili tupate ajira kulingana na elimu zetu ila hali bado ni tete.

Tutaendelea tu ndugu,hicho sio kikwazo pekee cha maendeleo. Fanya kazi na endela kupambana ktk sehemu yako. Na kama unaona sio fair competition unaweza kujitoa ili kupunguza strss. ASANTENI
.
 
Kulikuwa na kasheria fulani kwamba mkifungana marks na wote mu jinsia moja anachukuliwa mwenye umri mkubwa!! Mkifungana marks wa kike na wa kiume anachukuliwa wa kike!! Hivi imekaa sawa hii?
 
Mdau with Tz everything is possible that is rabbish...Hiyo ni cha mtoto mbona... ni kawaida sana...Wadau wameona mengi san kwenye interview za bongo ...Eti Secretariat...nothing special...Just as usual...Pole sana!
 
Acha wivu wa kike kila mtu ana bahati yake! Cheti ni makaratasi tu wanaangalia kichwani kumo?? 98% tuliyoyasoma hatuyafantii kazi...
 
Mtaje jina tumjue na siku akiingia kwenye reli zetu tumfanye kitu mbaya kama alivyokufanya..!
 
Kama umemaliza mwaka huohuo na kazi ikatangazwa transcript inahusika sana
 
Womens are encouraged to apply!!!!!! kama kigezo hiki kilkuwepo basi keep on fighting..
 
Mambo mengine yanakera hasa ukiwa na akili timamu huwezi kuyasupport mana ni wizi mtupu.pole mwaya mdau
 
hapo kuna kitu evil kimefanyika, ila kaka kuwa mpole ukiweza jiajiri, kazi nzuri ni yako mwenyewe.
 
Heshima kwenu wana jamii!
Tarehe 15 nilihudhuria intervew pale duce katika post ya WILDLIFE OFFICER.
Nilishangaa sana kumuona dada mmoja ambaye nilimuacha chuo mwaka jana pale SUA.
Huyu dada amegraduate mwez uliopita,ila hizi nafasi za kazi zilitoka mwez wa 5 na 6.kiukweli nadhani mnajua vigezo vya kuomba kazi hasa serikalini kwamba ni lazma uwe na certificates na sio provision result or transcript.
I wonder huyu dada alipata wapi vyeti? Sababu kama alitumia transcript when she apply the post basi wakati wa intervew alitakiwa awe na FULL CERTIFICATE ili aweze kuingia kwenye intervew.
Wakati wa ukaguzi wa vyeti conditions zilikua uwe na cheti cha kuzaliwa,cha form four,cha form six na university certificate. Sasa huyu mwenzetu amepata wapi cheti cha chuo? Maana aliruhusiwa kufanya mtihan.
Ifahamike kwamba vyeti vya chuo vinachukua muda kutoka,mathalani sie tulimaliza chuo mwaka jana ila vyeti vimetoka mwaka huu mwezi wa 6.
Dada yetu atuambie imekuwaje??
Utumishi kweli mko serious katika hili?
Nimeenda mbali zaidi ku trace background ya huyu dada hajapita hata diploma labda ingetuaminisha kua alitumia vyeti vya diploma.
We have a long way to go...kazi kweli kweli

Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake,punguza lawama ndugu yang ucone c 2mekaa kimya 2na mengi ya kusema we acha 2.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom