GECKO LIZARD
New Member
- Mar 27, 2014
- 4
- 0
Mi nawakaribisha hapa V.C.T tucheki manyenyere! mana kny hiyo list ya walio n'tia nkojo diva na mashaka sana lol..............
Mkuu zumbemkuu toa maoni yako hapo au nyamaza. maana haya mambo ya binafsi watu hawahawa wanayatumia kuwachafua wenzao kumbe wenyewe mpaka Swiss pub wana yatenda tena bila kificho?
Sent from my iPad using JamiiForums
hahahahaha, dah, leo siku imeenda poa sana, imebidi kale ka'post nika'save for future reference,
hii pia ionwe na Elli MANI Crashwise Mungi Afred PigangomaBro Zitto ndo alikua ana kaza hapo
Now amiri jeshi mkuu wa ECT ARMY ndo anaoa kabisa.
so ni shemeji bado.
AM EAST COAST ARMY'S DIE HARD FAN!
Ugomvi sasa huu.
Kuna kipindi kalikuwa kanamtega John Mnyika kwa kumuhoji maswali ya ajabuajabu,ila Kamanda alikuwa anamkazia hataki maswali ya kipuuzi.Kalipoona hakana namna tena ya kumpata 'mgumu' Mnyika ndo kakaamua kuhamishia mashambulizi kwa Zitto,huko alhamdulilah akafanikiwa kupata anachotaka
Ugomvi sasa huu.
Ukitaka kumtoa nyoka pangoni unafanya mawili. Unapiga mluzi mzuri au unachoma tyre.
Sent from my iPad using JamiiForums
hahhha, si mbaya na hawa pia wakiiona sixgate Zitto Mtela MwampambaAcha uchoyo zumbemkuu, aione pia Juliana Shonza
hee, hahahaha, dah kumbe jukwaa la MMU???? hahaha, tangu nijiunge leo ndo naingia humu, du, hahahahahaMkuu huwa sina kawaida ya kutembelea sana hili jukwaa ila kumbe lina mambo yamejificha huku! Acha tuu
Sent from my iPad using JamiiForums
bro zitto ndo alikua ana kaza hapo
now amiri jeshi mkuu wa ect army ndo anaoa kabisa.
So ni shemeji bado.
Am east coast army's die hard fan!
Jamaa kajitoa mhanga kuoa matatizo.
Kuna kipindi kalikuwa kanamtega John Mnyika kwa kumuhoji maswali ya ajabuajabu,ila Kamanda alikuwa anamkazia hataki maswali ya kipuuzi.Kalipoona hakana namna tena ya kumpata 'mgumu' Mnyika ndo kakaamua kuhamishia mashambulizi kwa Zitto,huko alhamdulilah akafanikiwa kupata anachotaka