CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
Heshima kwenu Wajasiriakilimo.
Swala la Ujasirimali ni gumu sana, Ujsirimali sio swala la kitoto, unahitajika kujitoa mhanga ki sawa sawa.Wengi wamekuwa wanafanya hivyo na wengine imekuwa ni kazi ngumu.
Wengi wetu tunapenda sana mafanikio, ila ya muda mfupi na ndo yanayo pelekea haya yote yanayo tokea,
Wengi wetu hatuna spirt ya ujasirimali zaidi ya kutaka tajiri wa short cut wa kulala na kuamka tajiri, mtu anataka alime na auze anunue hata V8 ndo hayo tunawaza wengi wetu.
Sasa tumebakia kujaribu hiki na kile, yaani mtu hana ndoto tena ubongo umefikia mwisho kwenye kuwaza, yaani kama ni gari imekita haiendi mbele wala hairudi nyuma
Kufuata mkumbo kulivyo.
Utakuta mjasirimali mwenzangu alikuwa analima nyanya, kaacha ghafla halimi tena, karukia vitunguu kwa sababu alisimuliwa kuna jamaa kajenga nyumba kwa vitunguu, kalima masimu mmoja kaona hailipi kaacha, kaaza kufuga kuku wa mayai kafuga kaona hailipi kaacha, kauona kwenye TV kilimo cha ufuta kina lipa, katuafuta shamba kalima msimu mmoja kaacha, kashawishiwa afuge Broilers kafuga kama mara mbiuli kaacha, kaona kwenye TV kutengeneza sababu karukia, katengeneza kaacha, karukia kufuga Sungura kwa sababu kaambiwa inalipa.
Wakuu kwa staili za aina hii sahai mazima mafaniko, make hapa mtu anakuwa haeleweki yuko kama popo si mnyama si ndege,
Mambo haya ya:
- Nimehamasishwa,
-Nimevutiwa,
- Niliona kwenye TV
-Nilisikia mahali
-Tumeshauriwa
-Tumefundishwa
Haya ndo yanayo cost watu yaani mtu haamini dream yake sasa amebakia kurukia hiki na kuacha kesho kakamata hiki.
Kinacho takiwa stiki pale unapo penda, stiki kwenye Idea yako na iamini idea yako, acha kufuata wanacho sema watu au kufanya watu, zile ni drem zao.
Watu wanakuja na Idea zao sasa wapateje pesa ndo hayo ya kuambiwa lima kile na fuga kile, na mtu bila kuwaza anaingia huko,
YOU GUYS, TRUST IDEA YAKO NA AMINI IDEA YAKO NI BORA ZAIDI
Swala la Ujasirimali ni gumu sana, Ujsirimali sio swala la kitoto, unahitajika kujitoa mhanga ki sawa sawa.Wengi wamekuwa wanafanya hivyo na wengine imekuwa ni kazi ngumu.
Wengi wetu tunapenda sana mafanikio, ila ya muda mfupi na ndo yanayo pelekea haya yote yanayo tokea,
Wengi wetu hatuna spirt ya ujasirimali zaidi ya kutaka tajiri wa short cut wa kulala na kuamka tajiri, mtu anataka alime na auze anunue hata V8 ndo hayo tunawaza wengi wetu.
Sasa tumebakia kujaribu hiki na kile, yaani mtu hana ndoto tena ubongo umefikia mwisho kwenye kuwaza, yaani kama ni gari imekita haiendi mbele wala hairudi nyuma
Kufuata mkumbo kulivyo.
Utakuta mjasirimali mwenzangu alikuwa analima nyanya, kaacha ghafla halimi tena, karukia vitunguu kwa sababu alisimuliwa kuna jamaa kajenga nyumba kwa vitunguu, kalima masimu mmoja kaona hailipi kaacha, kaaza kufuga kuku wa mayai kafuga kaona hailipi kaacha, kauona kwenye TV kilimo cha ufuta kina lipa, katuafuta shamba kalima msimu mmoja kaacha, kashawishiwa afuge Broilers kafuga kama mara mbiuli kaacha, kaona kwenye TV kutengeneza sababu karukia, katengeneza kaacha, karukia kufuga Sungura kwa sababu kaambiwa inalipa.
Wakuu kwa staili za aina hii sahai mazima mafaniko, make hapa mtu anakuwa haeleweki yuko kama popo si mnyama si ndege,
Mambo haya ya:
- Nimehamasishwa,
-Nimevutiwa,
- Niliona kwenye TV
-Nilisikia mahali
-Tumeshauriwa
-Tumefundishwa
Haya ndo yanayo cost watu yaani mtu haamini dream yake sasa amebakia kurukia hiki na kuacha kesho kakamata hiki.
Kinacho takiwa stiki pale unapo penda, stiki kwenye Idea yako na iamini idea yako, acha kufuata wanacho sema watu au kufanya watu, zile ni drem zao.
Watu wanakuja na Idea zao sasa wapateje pesa ndo hayo ya kuambiwa lima kile na fuga kile, na mtu bila kuwaza anaingia huko,
YOU GUYS, TRUST IDEA YAKO NA AMINI IDEA YAKO NI BORA ZAIDI