Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Tatizo sio jeshi, tatizo ni CCM kuona kila kitu ni mali yake na ana haki nacho..Tulishasema kwamba Jeshi la Polisi livunjwe
Safi sana huyu anaanza uaskari mapema sana ili aje azoeeKuna binti hapo kazaliwa 2022
Kwani Wana CCM siyo Watanzania. Au ni Ulimbekini na Ushamba wa Kufikiria. Hakuna Mtanzania ambaye hana chama wala ambaye hana Sifa za Kuajiliwa. Sema Utofauti unakuwa Kwenye Sifa kuna Mwenye sifa Nzuri na zaidi ya Mwingine huyo ndiye hupewa Kipaumbele. So kuwa wewe ni Chadema, CCM, CUF, ACT Wazalendo au Jahazi asilia kwamba unakatazwa kujiunga na Majeshi. Nachojua Kila Mtanzania ana haki ya kuajiliwa. So huuu Upuuuzi siyo ajenda ya Utanzania labda ni ajenda ya Mungiki. Mungu atuepushe na Akili za Ovyo za kama Wewe Mtoa mada
Kwahiyo wanaombewa kazi na Chama!? Hebu shirikisha ubongo badala ya makalio kabla ya kucomment.Kwani Wana CCM siyo Watanzania. Au ni Ulimbekini na Ushamba wa Kufikiria. Hakuna Mtanzania ambaye hana chama wala ambaye hana Sifa za Kuajiliwa. Sema Utofauti unakuwa Kwenye Sifa kuna Mwenye sifa Nzuri na zaidi ya Mwingine huyo ndiye hupewa Kipaumbele. So kuwa wewe ni Chadema, CCM, CUF, ACT Wazalendo au Jahazi asilia kwamba unakatazwa kujiunga na Majeshi. Nachojua Kila Mtanzania ana haki ya kuajiliwa. So huuu Upuuuzi siyo ajenda ya Utanzania labda ni ajenda ya Mungiki. Mungu atuepushe na Akili za Ovyo za kama Wewe Mtoa mada
Huna akili, kulikua na haja gani kuomba kazi kupitia Yuvisisiemu, yuvisisiemu na polisi ni idara sambamba? Kwamba yuvisisiemu ni kitengo cha ulinzi/usalama nchini au polisi ndio kitengo cha siasa?Kwani Wana CCM siyo Watanzania. Au ni Ulimbekini na Ushamba wa Kufikiria. Hakuna Mtanzania ambaye hana chama wala ambaye hana Sifa za Kuajiliwa. Sema Utofauti unakuwa Kwenye Sifa kuna Mwenye sifa Nzuri na zaidi ya Mwingine huyo ndiye hupewa Kipaumbele. So kuwa wewe ni Chadema, CCM, CUF, ACT Wazalendo au Jahazi asilia kwamba unakatazwa kujiunga na Majeshi. Nachojua Kila Mtanzania ana haki ya kuajiliwa. So huuu Upuuuzi siyo ajenda ya Utanzania labda ni ajenda ya Mungiki. Mungu atuepushe na Akili za Ovyo za kama Wewe Mtoa mada