gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,604
mbona umewabebesha lawama wanawake tu? kwa hiyo unashauri wanawake wasifanye kazi na vip kama mume naye anatakwa na bosi wake wa kike au katishiwa kufukuzwa kazi atawajibika kitandani vizuri? cha kuongezea unakuta mwanaume kapita nyumba ndogo na kawajibika ipasavyo akirudi home hana hamu na mkewe
Nafikiri ulitakiwa uongezee matatizo yanayowafanya wanawake wacause ths thing
ikiwa mada ya matatizo ya wanaume kutowafikisha wanawake tutachangia kwa upeo au mwelekeo huo