Haya huchangia Mwanaume kuwa mchovu kitandani

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,708
Kuna malalamiko mengi sana yamekuwa yakitolewa na wanawake na wengine kufikia kuvunja ndoa au mahusiano kwa sababu tu wanaume wao wameshuka kiwango au ham imeisha kabisa ya tendo.

Lawama hizo wamekuwa wakiwatupia wanaume bila kuangalia uhalisia wake.

Ukweli ni kuwa wanawake wenyewe ndo wamekua chanzo kikubwa cia tatizo hili.

Sababu zifuatazo kwa ufaham wangu ndo zinasababisha:

UCHAFU:
Wanawake siku hizi wanashindwa kujifanyia usafi ipasavyo miili yao kitu kinachosababisha mwanaume kukereka na hamu kwisha.

KAZI:
Wanawake wa siku hizi inafahamika kuwa wanafanya kazi,mwanamke anarudi kazini na uchovu, stress, katukanwa na bosi wake, amepata loss, ametongozwa na boss na kutishiwa kufukuzwa kazi kama atamkataa, amesikia fununu za ridandasi n.k,mwanamke kama huyu hawezi kuwa na ndoa imara.

KUTOKUWA MUWAZI:
Hili ni tatizo kubwa, wanawake hawapo wazi kama hawajatosheka kitandani hivyo wanaenda kulalamika nje na pindi mume apatapo taarifa hunyong'onyea kwa sababu anajua watu wanajua mkewe hamtoshelezi.

UFUJAJI:
Mwanamke mfujaji mume wake lazima atakuwa na tatizo hili.

LUGHA CHAFU:
Lugha ni nguzo nyingine inayochangia tatizo hii, unakuta mume maumbile yake madogo, badala mwanamke kutumia lugha nzuri anatumia lugha za kashfa kitu kinachomfanya mume kupoteza kujiamini.

USHIRIKIANO:
Wakati wa tendo unakuta mwanaume anashughulika lakini mwanamke amelala kama hakuna kinachoendelea hali hii inakera sana!...

Sababu ni nyingi sana ila nasema wanawake wabadilike wao ndio nguzo muhimu sana hapa. Sisemi wanaume hawana lawama wanazo hasa, ULEVI, UVUTAJI SIGARA na KUFANYA KAZI KUPINDUKIA humfanya awe mchovu kitandani, lakini mwanamke anaplay part kubwa kwenye tatizo hili! Ladies mpo hapo?

NAWATAKIENI NDOA/MAHUSIANO IMARA!
 
Tuhuma za uchafu sina hakika nazo....

Ila hayo mengine nayakubali......

Mwanamume anaweza kuwasha gari ila mwenye jukumu la kuliendesha hadi mwisho wa safari ni mwanamke...Jukumu la mwanamume ni kuhakikisha halikwami kwenye matope!!

I wish they knew!!

Babu DC!!
 
Tuhuma za uchafu sina hakika nazo....

Ila hayo mengine nayakubali......

Mwanamume anaweza kuwasha gari ila mwenye jukumu la kuliendesha hadi mwisho wa safari ni mwanamke...Jukumu la mwanamume ni kuhakikisha halikwami kwenye matope!!

I wish they knew!!

Babu DC!!
za siku DC? mkuu umeamua kuunga tela kwenye vagi la Eiyer vs wadada? Wakianza kurusha makombora? Mkuu mimi najiweka pembeni!
 
Babu DC,uchafu mimi ni shahidi,niliwahi kuwa na binti mchafu,nilikuwa natumia hekima sana kumweleza ili asijifikirie vibaya lakini hakuwa akinielewa,nashukuru Mungu kilichofanya tusitishe uhusiano ni jambo jingine kabisa!
 
Babu DC,uchafu mimi ni shahidi,niliwahi kuwa na binti mchafu,nilikuwa natumia hekima sana kumweleza ili asijifikirie vibaya lakini hakuwa akinielewa,nashukuru Mungu kilichofanya tusitishe uhusiano ni jambo jingine kabisa!


Umekutana na huyo binti mmoja tu ambaye alikuwa mchafu au katika sample yako, zaidi ya 90% walikuwa wachafu?

Babu DC!!
 
za siku DC? mkuu umeamua kuunga tela kwenye vagi la Eiyer vs wadada? Wakianza kurusha makombora? Mkuu mimi najiweka pembeni!


Wakora waitu....Babu DC ni mzima kabisa,

Babu ni fair kwa wajukuu wote...Ameona na kushiriki mengi sana toka enzi hizo za 1947...neno analotoa si lake pekee bali ni mkusanyiko wa uzoefu kutoka wa wazee wenzake kibao...bahati mbaya wengine walisharudisha kadi kwa Mwenye haki!!

Wadada (pamoja na nyie vijana) lazima waelewe tu kwamba haya mambo ya MMU hayafanywi na mtu mmoja...bali timu ya watu 2 ambapo mmoja akifanya uzembe, kibarua kinakwamia njiani!!

Babu DC!!
 
Babu DC,asante kwa swali zuri,sio kweli kuwa wote niliokuwa nao wapo hivyo,ila nina marafiki nasoma visa mbalimbali na pia nakutana na wadada hawa kila siku,vitu kama kutoa harufu mdomoni na kwapani ni vitu vya kawaida,wanaume nao wanamatatizo hayo ila mwanamke na mwanaume ni tofauti!
 
here we go again... kila couple ijifanyie tathmini yenyewe na kuchukua hatua


Tathmini inaweza kufanyika lakini siku za karibuni, kila mtu amekuwa akimrushia mwenzake madongo na kulalamika!!

Mie nawaeleza, kama kuna kitu kimeshindikana basi wote wamefeli mtihani kama yule binti wa kaka mkubwa!!

Tukae chini na kujipanga upya...vinginevyo............!!!


Babu DC!!
 
duh, ntamwachisha kazi mke wangu ili awe fit usiku.
Ila kama unapenda kiuno panga boy si bora kuifunga kwenye mota ikazungushwa hadi basi.

Anyway, kuna ka ukweli hapo.
 
Kongosho bana,kwa hiyo post yako hapo juu,jiandae kukwepa ngumi!
 
Back
Top Bottom