Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

Kama umechokozwa ukajilipue ukaue watu wasio na hatia halafu useme ni watu wazuri?
Waarabu ni magaidi. Mfano hai Libya.
Tunisia pale kuna mwafrika mzamiaji alichomwa kisu na mwaarabu kisa wanaogopa watazaa na dada zao na rangi ya uarabu itapotea, cha kushangaza wakifanikiwa kuingia ulaya wanapokelewa na kupewa uraia
Waarabu Hapana
Kabisa
 
Hao wa Yemen sijui Pakistan somalia Afghanistan ni waislam masikin hakuna elim nk. Ingawaje wanachokifanya ndivyo uislam unataka. Usifikir wanavyokuita kafiri wanatania. Ukishaitwa kafiri umeshawekwa kwenye levo ya kuchomwa moto tu maana unakuwa jitu linaloishi bila mpangilio lipo lipo tu bila Mungu. Unastahili kuuwawa.
Mpumbavu Sawa na wao
Wakiniona kafiri na Mimi nawaona karifi 10 times
 
ndani ya uislamu kuna madhehebu kuna hao shia ndiyo hatari wanaamini kuwa kuna mtu wao anaitwa mahd atakuja kuwaokoa watu kutoka mikononi mwa makafiri(israel) wao walishajiekea hilo kuwa ipo siku watashinda ndiyo maana mentality yao kuiondoa ni ngumu.

wapo wengine wamebakia na misingi ya jihadi hawa ni sunni hivyo lolote ufanyalo wao hawaelewi wanataka dola,wasiwe chini ya uongozi wa kisekula.

tupoi sisi bakwata tumekubaliu kuendeshwa kama maboya.
Hivi bakwata ndio shia?
Ila Hizi Imani bhana
 
Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza.

Overall experience ilifanya niwaheshimu sana watu wa Dubai. Kwa sasa kila nikienda kule basi najitahidi hata nivae kama wao kabisa sababu ya heshima niliowapa kwa kile kitendo. Na si mm tu, mtu yyt ukiachana na hawa wazamiaji lazima upewe ukarimu sana ukiwa dubai

Dubai na emirates kwa ujumla ni wakarimu sana, usiende tu kama mtumwa, sabab hata sisi weusi kwa weusi tunatesana kwa watu walio chini yetu, that's human nature. Ila generally waarabu wa Dubai na Abu dhabi ni watu poa sana.

Ndo maana sishangai hata Ronaldo kuadopt kabisa maisha ya kule, wanavyokutreat tu lazima na ww utawaheshimu

Hawa wengine walipua mabom kila siku sijui uislam wao ni wa wapi, siujui uislam ila kama ningekua muislam ningechagua huu uislam wa dubai.
Ukipata muda na kama hali ya uchumi inaruhusu basi tembelea na nchi moja Afrika inaitwa Senegal. Senegal Waislamu wanafika 90% lakini hawana shida kabisa na Wakristu ambao ni minority yaani less than 10%.

Ila njoo sasa uwaòne Waislamu wa hapa Buza kwetu, utakimbia
 
Hivi ni kwann panapo tokea vita kwenye nchi za waislam ni lazima watu huwa wanarazimisha ionekane imesababishwa na dini na sio siasa?

Muislamu akipigana anaitwa Gaidi, Mgalatia huwa Muasi
 
Tatizo ni kuwa propaganda ya kuuchafua Uislamu na waarabu kwa ujumla imetapakaa sana kwenye jamii za kikiristo, kwahiyo ni ngumu sana kuelewa uhalisia wamazingira. Hizo nchi zote ulizozitaja kama Yemen na Syria, Sudan, Libya na wenziwe ni nchi zeneye machafuko ya kisiasa hazina tofauti na kama Congo au ilivyokuwa uganda miaka ya 70's-80's, ila inavyo promotiwa katika jamii za kikristo ni vyengine kabisa.
UAE ni mmoja ya nchi bora kabisa, watu wake ni wakarimu sana. nimeawahi kufika na nimeshuhudia mambo mengi ya ki utu mazuri ambayo hapa kwetu TZ ni ngumu kukutana nayo.
 
nahisi umasikini uliotopea ukosefu wa elimu dunya ni chanzo cha misimamo mikali
kuwait
bahrain
Qatar
Oman
UAE
Saud
Singapore

Alafu
Afghan
pakistan
yemen
Sudan

kuna kipindi Lebanon walikua vyema sana mpaka walivyoanza kuongozwa na radicals
 
Hao waislamu wa huko Yemen na wengne wenye roho mbaya shida yao kubwa ni elimu kichwani ni weupe peee ila hao wa Dubai elimu imekaa na sio washamba, njoo bongo waislamu maskin heeeee wamoto kichiz ila matajiri aaah so easy.
 
nahisi umasikini uliotopea ukosefu wa elimu dunya ni chanzo cha misimamo mikali
kuwait
bahrain
Qatar
Oman
UAE
Saud
Singapore

Alafu
Afghan
pakistan
yemen
Sudan

kuna kipindi Lebanon walikua vyema sana mpaka walivyoanza kuongozwa na radicals
Kwa hiyo na Ukraine , Congo ,Burundi nk ambapo kuna machafuko nao hawana elimu ya dunia na ni waisilam na ndio maana wanauwana?

Hapa duniani kuna nchi za kiislam zaidi ya 45 na kati ya hizo ni nchi zisizo zidi 6 ndo zenye machafuko na chanzo cha machafuko ndani ya nchi hizo ni uwaniaji wa madaraka na uvamizi kutoka nje hasa Marekani na washirika wake lakini cha kushangaza mnalazimisha ionekane ni dini ndo inasababisha.

Iraq imeingia kwenye machafuko mwaka 2002 baada ya uvamizi wa Marekani kwahiyo uislam ndo ulio ituma Marekani hiivamie Iraq na kusababisha machafuko ya aina hii?
Au uislam ndani ya Iraq imeingia mwaka 2002 huko nyuma haukuwepo na ndio maana Iraq haikuwa na vita?

Afghanistan ilivurugika miaka ya 1985 baada ya uvamizi wa Usoviet baada ya kupigana na kuwafurusha wasovieti ilitulia na kuwa na Aman, ikaja kuvugika mwaka 2002 baada ya uvamizi wa Marekani na imeanza kutulia sasa hivi baada ya Marekani kujiondoa ndani ya nchi hiyo.Ebu niambie tangu Marekani ajiondoe nchini Afghanistan umesha sikia mauaji ya kiholela yanaendelea ndani ya nchi hiyo kama mwanzo?

Sudan vita imesababishwa na majenerali 2 wanao wania madaraka kwa hiyo Uislam ndo umewatuma wapigane kugombania madaraka?

Na kama haya yote kwenye nchi hizo ni kwa sababu ya waisilam vipi kuhusu nchi nyingine zenye machafuko na hazina waisilam na penyewe machafuko hayo yana sababishwa na dini wanazo ziamini?

Kwa nn hujawahi kujiuliza kuwa ni kwa nn mambo ya sijui kujilipua yamevuma miaka ya 1990 kuja juu na sio huko nyuma kwahiyo uislam umekuja hapa duniani mwaka 1990 huko nyuma haukuwepo na ndio maana na ugaidi haukuwepo?

Machafuko yanayo endelea kwenye nchi mbali mbali hapa duniani ni matokeo ya wanasiasa wenye tamaa za madaraka na sio ujinga raia wa nchi hizo, hakuna raia asiye penda kuishi nchini kwake kwa amani.

Leo hii CCM wakivurugana huko juu na kuingia kwenye vita ya kuwania madaraka mm, ww na raia wote wote ndani ya nchi tutapoteana bila kujali umesoma ,au haujasoma,ww ni tajiri au masikini ww una akili au ni kichaa wote tutaharibikiwa maisha hali yakuwa hatuhusiki kwa lolote lile.

Hii tabia yenu ya kuwakejeli binadamu wenzenu walioko kwenye matatizo kisa nyinyi mnaishi kwenye nchi zenye amani ni ni tabia ya kijinga,maana hata hao unao wacheka na kuwakejeli nchi zao zilikuwa na amani kama ilivyo nchi yako.
Na kila mwanadamu hapa duniani ni mkimbizi wa kesho maana siasa hazijawahi kutabilika sehemu yeyote hapa duniani.
 
Hao waislamu wa huko Yemen na wengne wenye roho mbaya shida yao kubwa ni elimu kichwani ni weupe peee ila hao wa Dubai elimu imekaa na sio washamba, njoo bongo waislamu maskin heeeee wamoto kichiz ila matajiri aaah so easy.
Kwanza huko Yemen kwenyewe ulisha enda na kudhibitisha kuwa wana roho mbaya? au ww kipimo cha raia wa nchi fulani kuwa na roho mbaya ni nchi hiyo kuwa na vita?
 
Ukipata muda na kama hali ya uchumi inaruhusu basi tembelea na nchi moja Afrika inaitwa Senegal. Senegal Waislamu wanafika 90% lakini hawana shida kabisa na Wakristu ambao ni minority yaani less than 10%.

Ila njoo sasa uwaòne Waislamu wa hapa Buza kwetu, utakimbia
Kwahiyo waisilam wa buza wana shida na nyinyi wagaratia?
 
Kwa bahati nzuri. Uislamu wa Tanzania Ni Kama ule wa saudia na Oman yaa ule unaotambukiwa na serikali BAKWATA.
Uislamu wa Pakistan sio wakistaarabu.
 
Kwanza huko Yemen kwenyewe ulisha enda na kudhibitisha kuwa wana roho mbaya? au ww kipimo cha raia wa nchi fulani kuwa na roho mbaya ni nchi hiyo kuwa na vita?
Wewe ulishawah kwenda huko Yemen ukadhibitisha hawana roho mbaya!? Kwhyo unahis wanasingiziwa!?
 
Back
Top Bottom