Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Chama soma hoja badala ya kuleta uzushi. Naona umeanza kuthibitisha aliyosema Mtoi. Maana badala ya kuangalia nini kimeongelewa unaanza shutuma na jazba.
Taasisi ya Masheikh na wanazuaoni wa Kiislamu Tanzania imesikitishwa na mhemuko hasi na ghadhabu za baadhi ya waislamu zilizopitiliza na kupelekea kutoa mwanya wa kutendeka uhalifu wa aina mbalimbali ikiwemo kuchoma makanisa na kuharibu mali za watu.
Source: https://www.facebook.com/pages/ITV-Tanzania/195736147204034