Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanaJF, ktk mambo yanayonitia kichefuchefu ni uteuzi wa Hawa Ghasia kuwa waziri wa TAMISEMI, huyu mama ni kilaza mnoo, wizara hii ni ngumu kuliko zote hasa kwa aina ya mawaziri waliopo CCM na pia ndo yenye impact ya moja kwa moja kwenye maisha ya Watanganyika. Kwenye utumishi huyu mama alishindwa kabisa!!!! Anachozidiwa huyu mama na Adam Malima ni kwamba Adam hajijui kabisaa siku zote kama ana dhamana kubwa aliyopewa na rais ya kuwatumikia Watanganyika yeye ni kuchekacheka tu akiwa ndani ya mjengo na kutoa majibu mepesi.