Have/will you change your name after marriage?

Kuna watu nawafahamu walibahatika kupata same PhD scholarship, same college and same supervisor kwa kuwa majina yao ni tofauti. Walikuja kugundulika kuwa ni hubby and wife baada ya kuripoti chuo. Kuna faida kuwa na majina tofauti sometimes.
 
Jamani kubadilisha jina kuna sababu nyingi. Lakini kikubwa ni kwamba kwa wanawake wengi.. (especially katika Africa yetu) swala ni je mume akidondoka/akarudi kwa muumba wake leo..na wewe uligoma kubadilisha jina..utakuwa na la kwako kweli? especially ndugu wakianza kukusakama kuhusu mali? Ofcourse hata kama umebadili jina siyo guarantee kwamba hutasumbuliwa..lakini you can be sure kwamba inasaidia unapopigania haki zako kama una jina la mume wako.

Ni vema watanzania wenzangu..tuache hii 'elitism'. Najua wengi tunaokuja humu JF tumeenda shule na haki zetu wengi tunazielewa lakini tujue kwamba kuna maelfu ya dada zetu na mama zetu hawana privileges tulizonazo. Kwa hiyo kubadili jina, to me I would say, inasaidia security. Leo Masanja nikioa..mke wangu anaweza akabadili au asibadili...lakini hii ni kwa sababu Masanja naelewa whay she should/should not do this.

Tupende kutoa ushauri tukiwa tunaangalia uhalisia wa maisha. Sometimes hizi human rights ziko kwenye vitabu na zinapatikana kwa wale wenye uwezo. Mimi nikiulizwa na ndugu yangu kule village kuhusu kubadili jina akioelwa.....definitely nitamwambia mama..fanya fasta!

Unaweza usibadili lakini....if you can afford it..not many can do that. Most of us know that.
 
Nisamehe BAK,sikukuelewa....nikajua wataka kutupa utaalamu....l.o.l
Haya Lizzy ametoa majibu hapo juu.....soma uelewe tu sasa,mimi ni mtaalam,consult me anytime...l.o.l

Will do as advised...how much do you charge per hour!? (as consultation fees) :)
 
Labda utufafanulie jina lina msaada gani kisheria katika masuala ya mirathi? Mimi nilidhani cheti cha ndoa kinatosha!


Jamani kubadilisha jina kuna sababu nyingi. Lakini kikubwa ni kwamba kwa wanawake wengi.. (especially katika Africa yetu) swala ni je mume akidondoka/akarudi kwa muumba wake leo..na wewe uligoma kubadilisha jina..utakuwa na la kwako kweli? especially ndugu wakianza kukusakama kuhusu mali? Ofcourse hata kama umebadili jina siyo guarantee kwamba hutasumbuliwa..lakini you can be sure kwamba inasaidia unapopigania haki zako kama una jina la mume wako.

Ni vema watanzania wenzangu..tuache hii 'elitism'. Najua wengi tunaokuja humu JF tumeenda shule na haki zetu wengi tunazielewa lakini tujue kwamba kuna maelfu ya dada zetu na mama zetu hawana privileges tulizonazo. Kwa hiyo kubadili jina, to me I would say, inasaidia security. Leo Masanja nikioa..mke wangu anaweza akabadili au asibadili...lakini hii ni kwa sababu Masanja naelewa whay she should/should not do this.

Tupende kutoa ushauri tukiwa tunaangalia uhalisia wa maisha. Sometimes hizi human rights ziko kwenye vitabu na zinapatikana kwa wale wenye uwezo. Mimi nikiulizwa na ndugu yangu kule village kuhusu kubadili jina akioelwa.....definitely nitamwambia mama..fanya fasta!

Unaweza usibadili lakini....if you can afford it..not many can do that. Most of us know that.
 
Vile vile huwa nawaza baba yangu amenisomesha, why should I stop being his daughter after marriage. I want my success to be connected to my daddy as a reward. Watu waseme mtoto wa fulani. Na hii ni faida hasa kwa wenye watoto wa kike pekee.
 
Nina marafiki zangu ambao walibadili majina. Wengine wameolewa na wadhungu kwa hiyo wana majina ya hajabu hajabu. Kuna wawili waliniomba tuconnect on facebook. Nilipata tabu sana kukubali kwani wameshabadilika sijawaona more than 10 years and their names have also changed. Taabu kweli kweli.
 
Desturi hii ya wanawake kubadilisha jina lake baada ya kuoa inatoka wapi? Pia, kwa nini ni mwanawake anayetarajiwa kubadilisha jina lake na sio mwanaume? Sioni maana yeyote ya kufanya hivi. Nitaongeza jina la mume wangu tu (na namtarajia mume wangu kufanya sawasawa).
 
Desturi hii ya wanawake kubadilisha jina lake baada ya kuoa inatoka wapi? Pia, kwa nini ni mwanawake anayetarajiwa kubadilisha jina lake na sio mwanaume? Sioni maana yeyote ya kufanya hivi. Nitaongeza jina la mume wangu tu (na namtarajia mume wangu kufanya sawasawa).
I see!!!
 
mimi wangu ka-maintain jina lake (officially).. ila hapa mtaani wanamwita Mrs. Kanyagio.
ila kuna cases ambazo unaongeza jina la mume. for example kama LIZZY surname yake ni KANYAGIO akiolewa na MAKANYAGIO basi nimeona wakiandika LIZZY KANYAGIO-MAKANYAGIO..

Hahhahaha hata mimi ni Mrs Nsiande ngiwiriamooo-chumaulete !

I have kept the best of both names, la kwangu which was and still is extremely popular manake nikikutana na marafiki zangu wataanza na Nsiande Ngiwiriamoo ....then husband dearest's name nimeliweka mbele kuonyesha addition ya mwili mmoja ....

Its our annivesary today...10 years baby ....very happy for today...don't know what tommorow has in store for me.
 
Wow. It is my annivesary too. 8 years though! (with additional 4 memorable dating years)

Hahhahaha hata mimi ni Mrs Nsiande ngiwiriamooo-chumaulete !

I have kept the best of both names, la kwangu which was and still is extremely popular manake nikikutana na marafiki zangu wataanza na Nsiande Ngiwiriamoo ....then husband dearest's name nimeliweka mbele kuonyesha addition ya mwili mmoja ....

Its our annivesary today...10 years baby ....very happy for today...don't know what tommorow has in store for me.
 
Hahhahaha hata mimi ni Mrs Nsiande ngiwiriamooo-chumaulete !

I have kept the best of both names, la kwangu which was and still is extremely popular manake nikikutana na marafiki zangu wataanza na Nsiande Ngiwiriamoo ....then husband dearest's name nimeliweka mbele kuonyesha addition ya mwili mmoja ....

Its our annivesary today...10 years baby ....very happy for today...don't know what tommorow has in store for me.

188.gif
 
Hahhahaha hata mimi ni Mrs Nsiande ngiwiriamooo-chumaulete !

I have kept the best of both names, la kwangu which was and still is extremely popular manake nikikutana na marafiki zangu wataanza na Nsiande Ngiwiriamoo ....then husband dearest's name nimeliweka mbele kuonyesha addition ya mwili mmoja ....

Its our annivesary today...10 years baby ....very happy for today...don't know what tommorow has in store for me.

Hongereni pamoja na Nyumba kubwa.....muongeze mingine hamsini!!
 
mm cijabadili nimeolewa 5 yrs back nilichobadili badala ya miss huwa naandika mrs thats all , teh teh niandike jina lake kwani yy baba yangu? Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom