Have/will you change your name after marriage?

Jamani kubadilisha jina kuna sababu nyingi. Lakini kikubwa ni kwamba kwa wanawake wengi.. (especially katika Africa yetu) swala ni je mume akidondoka/akarudi kwa muumba wake leo..na wewe uligoma kubadilisha jina..utakuwa na la kwako kweli? especially ndugu wakianza kukusakama kuhusu mali? Ofcourse hata kama umebadili jina siyo guarantee kwamba hutasumbuliwa..lakini you can be sure kwamba inasaidia unapopigania haki zako kama una jina la mume wako.

Ni vema watanzania wenzangu..tuache hii 'elitism'. Najua wengi tunaokuja humu JF tumeenda shule na haki zetu wengi tunazielewa lakini tujue kwamba kuna maelfu ya dada zetu na mama zetu hawana privileges tulizonazo. Kwa hiyo kubadili jina, to me I would say, inasaidia security. Leo Masanja nikioa..mke wangu anaweza akabadili au asibadili...lakini hii ni kwa sababu Masanja naelewa whay she should/should not do this.

Tupende kutoa ushauri tukiwa tunaangalia uhalisia wa maisha. Sometimes hizi human rights ziko kwenye vitabu na zinapatikana kwa wale wenye uwezo. Mimi nikiulizwa na ndugu yangu kule village kuhusu kubadili jina akioelwa.....definitely nitamwambia mama..fanya fasta!

Unaweza usibadili lakini....if you can afford it..not many can do that. Most of us know that.

duu kwa hiyo hata nisipokuwa na ndoa, nikitumia jina lake tu tayari nakuwa mrithi
 
It is not about Mrs Clinton or Obama; it is about you. Why change/not change your name? Hata hao kina Mrs Clinton ni wanawake; they might have same characteristics described by the article!

Mimi sikuwazia sana whether to change or not. Na hubby did not even ask. Ila naona ni karaha mpaka uende sijuhi kuhapa. Sijuhi uwe unaambatanisha kiapo kwenye kila certificate yako. What for? I don't know how it feels to have a new name at the age of 30! And am proud of my family name too which has nothing to do with loving/not loving my husband.

Having a name added before or after my family name sounds to be even more confusing. Nakubali kitaani wote wananijua Mrs fulani; hiyo inatosha. Ila ofisini no thanks (kijapani Dame -msisitizo)

Jamani kwa nini tunakuwa na negative mind kuhusu kubadilisha majina? Kuwa Mrs fulani ni kuonyesha kuwa wewe ni mke wa mr fulani! Ndio gharama za kungaa vidole! Unless, YOU ARE NOT PROUD OF YOUR HUSBAND, basi utakuwa na wasi wasi kubadilisha. Kingine, kwa nini tunafikiria kuachana iltakuwaje? Kama uliweza kubadilisha wakti mkiwa wote, utashindwaje wakati mkiachana?

Sisi wanawake tuna letu, hebu tuseme ukweli kwa nini hatutaki kubadilisha? Mrs clinton, Mrs Thatcher, Mrs Indira Ghandi and the list is endless.......pamoja na ukubwa wa madaraka yao, BADO WAMEBADILISHA MAISHA YAO
 
Jamani kwa nini tunakuwa na negative mind kuhusu kubadilisha majina? Kuwa Mrs fulani ni kuonyesha kuwa wewe ni mke wa mr fulani! Ndio gharama za kungaa vidole! Unless, YOU ARE NOT PROUD OF YOUR HUSBAND, basi utakuwa na wasi wasi kubadilisha. Kingine, kwa nini tunafikiria kuachana iltakuwaje? Kama uliweza kubadilisha wakti mkiwa wote, utashindwaje wakati mkiachana?

Sisi wanawake tuna letu, hebu tuseme ukweli kwa nini hatutaki kubadilisha? Mrs clinton, Mrs Thatcher, Mrs Indira Ghandi and the list is endless.......pamoja na ukubwa wa madaraka yao, BADO WAMEBADILISHA MAISHA YAO

Lakini, kwa nini Mr Fulani hatakiwi kubadilisha jina lake kuonyesha yeye ni mume wa Mrs Fulani? Can I conclude that he is not proud of his own wife? Sidhani proudness ni tatizo hapo. Nikifanya utafiti kuhusu swala hili niligundua kuwa, zamani, wanawake kubadilisha jina ilikuwa ishara ya dominance of the husband over his wife, uthibitisho kuwa yeye ndiye kichwa cha nyumba na jamaa yake. Sasa ingawa mawazo yameevolve na usawa wa kijensia umekuwa mojawapo wa lengo muhimu zaidi ya kutekeleza, desturi hii ya wanawake kubadilisha majina yao ilibaki katika utamaduni wetu. Hii ni sababu kwa nini wanawake ambao hawakubadilisha majina yao wanachukuliwa kama wanawake wanaojitegemea zaidi (kwa mujibu wa utafiti huu wa Wall Street Journal).
Is this assumption true? Of course not, but my point is that it is kind of sexist to expect women to change their name and not men. So, If a woman wants to keep her name, we shouldn't start looking for some negative underlying reason for her behavior. Just like we don't when a man doesn't want to change his.
 
Nitaandikwa kwenye kadi za harusi tu na mtaani kujulikana Mrs fulani ila ofisini jina langu na baba angu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom