Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,900
HAUTAKI KUMWAGA HARAKA? FANYA HIVI.

Anaandika, Robert Heriel

Asome kuanzia mwenye miaka 18.

Nakupa Tips chache tuu.
Mambo ya dakika moja chali utabaki kuyasoma mitandaoni na kuyasikia.
Hata twende Sawa!

1. Tawala presha na Mzunguko wa damu kwenye Uume.
Tayari upo na mwenzi wako kitandani, uume umesimama mpaka unauma, usikurupuke kuuchomeka Ukeni, uume ukiwa umesimama Sana presha inakuwa kubwa, hivyo kuuingiza ndani ya uke na kuanza kuchochea(kuingiza na kutoa Ukeni) itaongeza msisimko na kukufanya umwage mapema zaidi Chini ya dakika moja.
Uume ukikaza Sana haishauriwi kuchochea upesiupesi ingawaje utakuwa na ashki na hamu kubwa. Pia Uke kiasili huongezeka joto unapokutana na uume uliokaza Sana na kusababisha mvutano baina ya Uke na uume, hiyo huwafanya wote msikie Raha isiyokifani, lakini Kwa mwanaume hujikuta akimwaga upesi.

Namna ya kudhibiti Presha na mzunguko mkubwa wa damu kwenye Uume;
I) Vuta pumzi nyingi ndani, kisha izuie Kwa sekunde 40 kisha iachie polepole.
Hii itafanya ubongo upoteze focus kwenye tendo kwani ubongo utakuwa na insufficient ya hewa Kwa sekunde hizo. Kumbuka kinachofanya MTU amwage ni ubongo Kubwa. Kuunyima ubongo hewa kidogo kuta- disturb ufanisi WA ubongo katika tendo.

ii) ukiingiza uume usifikishe mwisho mpaka kugonga ukingo wa uume.
Uume unapokuwa umekaza Sana, usiuingize wote Ukeni mpaka ukagusa makende au kibovu(Chini ya kitovu). Ingiza roborobo, nusunusu, hivyohivyo mpaka presha ya uume ipungue. Ingawaje Mwanamke atahitaji umsugue yaani umgonge kwa kuchochea(Kwa Kasi) usimsikilize, kuwa na nidhamu.
Utachochea na kuenda Kwa Kasi pale uume ukipungua kukaza( ukikaza Kwa wastani).

So utafanya hivi,
Ulilegea Kwa wastani utakuwa unachapa Kwa Kasi, ndani ya sekunde thelasini uume utakaza, utapunguza kuchochea, utakuwa unaenda polepole bila kuingiza uume wote. Ndani ya sekunde thelasini utalegea kiasi, kisha utaanza kuchochea tena Kwa Kasi. Hivyohivyo.

iii) Usiweke mwili kivivu ukawa na egemeo,
Ufanye mwili usirelax, uwe na zoezi Fulani linalotumia energy nyingi.
Kwa mfano, unapomchapa Mwanamke usimlalie Kwa juu na kujilaza moja Kwa moja. Hii itafanya urelax na ubongo utakuwa na Focus moja tuu ya tendo.
Unaweza kumtega Mwenza wako kwenye kitanda, kisha wewe ukasimama Kwa chini ukiwa umesimamia kucha au mguu mmoja, Hii itafanya mwili wako usiwe comfortable kwani Mwili utakuwa na kazi ya kutafuta stamina ya mguu mmoja au kusimamia vidole na muda huohuo kufanya tendo. Alafu uchanganye na kubana pumzi na kuiachia polepole ili kudhibiti Flow ya damu mwilini hasa kuja kwenye Uume.

Staili nyingine inayotumia energe kama kumgegeda mwenza wako ukiwa umembeba itazuia wewe kumwaga haraka,.

2. Dhibiti Mtiririko wa mawazo yako.
Unapofanya mapenzi hakikisha mawazo yako hayaingii Giza, yaani hakikisha unakitu unachokifikiria kichwani kuifanya Akili yako iwe busy. Usiwe kama MTU anayepatwa na usingizi.
Kadiri mawazo yako yanavyofutika na kuingia ukungu ndivyo unavyokaribia kumwaga.
Ndio maana unapaswa uipe Akili yako kazi, hapohapo unawaza usianguke kwani umembeba au umesimama mguu mmoja, hapohapo unahesabu sekunde za kupumua, hapohapo unawaza kumgeuza na kumkunja style nyingine. Hivyohivyo.

3. Anapokaribia mwenza wako kumwaga atakuchochea uongeze Kasi au atakukamatia, usichochee unapohisi Jambo hilo. Ila kuwa kama unamkatikia mauno ukiuzungusha uume na kuupachika kwenye ukingo wa ndani kabisa wa Uke. Wakati unafanya hayo endelea kuhesabu mapigo na mienendo ya MKE/mpenzi wako hasa mapigo yake ya moyo na Ndani ya Uke wake.
Anapokaribia kupizi joto la Uke hubadilika, hapo utaanza kuchochea polepole huku ukiongeza kasi, naye atakuwa anapagawa, twendetwende!twende! Kisha chomoa! Chomeka! Chomoa chomeka ukifanya hivyo mara Saba mpaka kumi mtoto huyo! Huyo! Huyo! Huyo! Kisha iingize umsugulie humohumo mpaka atakapomaliza kukojoa. Nawe unaweza kumwaga mkafika wote Kwa pamoja.

Maandalizi ya kila mara;
1. Lala masaa yakutosha kila Siku yasiyopungua nane Kwa Siku.
2. Usitumie Vinywaji kama soda na Junk foods
3. Kunywa maji ya kutosha kulingana na umri, kimo chako na uzito wako.
4. Kula matunda angalau ndizi moja kila Siku
5. Fanya mazoezi ya kukimbia angalau kilometer tatu Kwa siku, angalua siku tatu Kwa wiki.
6. Fanya mazoezi ya pumzi, haya yanahitaji kocha.
7 fanya mazoezi ya Yoga, hasa yanayohusu Kiuno, na mgongo.
8. Kula vyakula vya Protein kama maharage, nyama na mbogamboga.
9. Usile chakula Baada ya saa moja jioni.
10. Acha kupiga Punyeto.

Tuishie hapa Kwa Leo.
Ni Yule Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
HAUTAKI KUMWAGA HARAKA? FANYA HIVI.

Anaandika, Robert Heriel

Asome kuanzia mwenye miaka 18.

Nakupa Tips chache tuu.
Mambo ya dakika moja chali utabaki kuyasoma mitandaoni na kuyasikia.
Hata twende Sawa!

1. Tawala presha na Mzunguko wa damu kwenye Uume.
Tayari upo na mwenzi wako kitandani, uume umesimama mpaka unauma, usikurupuke kuuchomeka Ukeni, uume ukiwa umesimama Sana presha inakuwa kubwa, hivyo kuuingiza ndani ya uke na kuanza kuchochea(kuingiza na kutoa Ukeni) itaongeza msisimko na kukufanya umwage mapema zaidi Chini ya dakika moja.
Uume ukikaza Sana haishauriwi kuchochea upesiupesi ingawaje utakuwa na ashki na hamu kubwa. Pia Uke kiasili huongezeka joto unapokutana na uume uliokaza Sana na kusababisha mvutano baina ya Uke na uume, hiyo huwafanya wote msikie Raha isiyokifani, lakini Kwa mwanaume hujikuta akimwaga upesi.

Namna ya kudhibiti Presha na mzunguko mkubwa wa damu kwenye Uume;
I) Vuta pumzi nyingi ndani, kisha izuie Kwa sekunde 40 kisha iachie polepole.
Hii itafanya ubongo upoteze focus kwenye tendo kwani ubongo utakuwa na insufficient ya hewa Kwa sekunde hizo. Kumbuka kinachofanya MTU amwage ni ubongo Kubwa. Kuunyima ubongo hewa kidogo kuta- disturb ufanisi WA ubongo katika tendo.

ii) ukiingiza uume usifikishe mwisho mpaka kugonga ukingo wa uume.
Uume unapokuwa umekaza Sana, usiuingize wote Ukeni mpaka ukagusa makende au kibovu(Chini ya kitovu). Ingiza roborobo, nusunusu, hivyohivyo mpaka presha ya uume ipungue. Ingawaje Mwanamke atahitaji umsugue yaani umgonge kwa kuchochea(Kwa Kasi) usimsikilize, kuwa na nidhamu.
Utachochea na kuenda Kwa Kasi pale uume ukipungua kukaza( ukikaza Kwa wastani).

So utafanya hivi,
Ulilegea Kwa wastani utakuwa unachapa Kwa Kasi, ndani ya sekunde thelasini uume utakaza, utapunguza kuchochea, utakuwa unaenda polepole bila kuingiza uume wote. Ndani ya sekunde thelasini utalegea kiasi, kisha utaanza kuchochea tena Kwa Kasi. Hivyohivyo.

iii) Usiweke mwili kivivu ukawa na egemeo,
Ufanye mwili usirelax, uwe na zoezi Fulani linalotumia energy nyingi.
Kwa mfano, unapomchapa Mwanamke usimlalie Kwa juu na kujilaza moja Kwa moja. Hii itafanya urelax na ubongo utakuwa na Focus moja tuu ya tendo.
Unaweza kumtega Mwenza wako kwenye kitanda, kisha wewe ukasimama Kwa chini ukiwa umesimamia kucha au mguu mmoja, Hii itafanya mwili wako usiwe comfortable kwani Mwili utakuwa na kazi ya kutafuta stamina ya mguu mmoja au kusimamia vidole na muda huohuo kufanya tendo. Alafu uchanganye na kubana pumzi na kuiachia polepole ili kudhibiti Flow ya damu mwilini hasa kuja kwenye Uume.

Staili nyingine inayotumia energe kama kumgegeda mwenza wako ukiwa umembeba itazuia wewe kumwaga haraka,.

2. Dhibiti Mtiririko wa mawazo yako.
Unapofanya mapenzi hakikisha mawazo yako hayaingii Giza, yaani hakikisha unakitu unachokifikiria kichwani kuifanya Akili yako iwe busy. Usiwe kama MTU anayepatwa na usingizi.
Kadiri mawazo yako yanavyofutika na kuingia ukungu ndivyo unavyokaribia kumwaga.
Ndio maana unapaswa uipe Akili yako kazi, hapohapo unawaza usianguke kwani umembeba au umesimama mguu mmoja, hapohapo unahesabu sekunde za kupumua, hapohapo unawaza kumgeuza na kumkunja style nyingine. Hivyohivyo.

3. Anapokaribia mwenza wako kumwaga atakuchochea uongeze Kasi au atakukamatia, usichochee unapohisi Jambo hilo. Ila kuwa kama unamkatikia mauno ukiuzungusha uume na kuupachika kwenye ukingo wa ndani kabisa wa Uke. Wakati unafanya hayo endelea kuhesabu mapigo na mienendo ya MKE/mpenzi wako hasa mapigo yake ya moyo na Ndani ya Uke wake.
Anapokaribia kupizi joto la Uke hubadilika, hapo utaanza kuchochea polepole huku ukiongeza kasi, naye atakuwa anapagawa, twendetwende!twende! Kisha chomoa! Chomeka! Chomoa chomeka ukifanya hivyo mara Saba mpaka kumi mtoto huyo! Huyo! Huyo! Huyo! Kisha iingize umsugulie humohumo mpaka atakapomaliza kukojoa. Nawe unaweza kumwaga mkafika wote Kwa pamoja.

Maandalizi ya kila mara;
1. Lala masaa yakutosha kila Siku yasiyopungua nane Kwa Siku.
2. Usitumie Vinywaji kama soda na Junk foods
3. Kunywa maji ya kutosha kulingana na umri, kimo chako na uzito wako.
4. Kula matunda angalau ndizi moja kila Siku
5. Fanya mazoezi ya kukimbia angalau kilometer tatu Kwa siku, angalua siku tatu Kwa wiki.
6. Fanya mazoezi ya pumzi, haya yanahitaji kocha.
7 fanya mazoezi ya Yoga, hasa yanayohusu Kiuno, na mgongo.
8. Kula vyakula vya Protein kama maharage, nyama na mbogamboga.
9. Usile chakula Baada ya saa moja jioni.
10. Acha kupiga Punyeto.

Tuishie hapa Kwa Leo.
Ni Yule Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Safi sana Taikon kwa darasa zuri.
 
HAUTAKI KUMWAGA HARAKA? FANYA HIVI.

Anaandika, Robert Heriel

Asome kuanzia mwenye miaka 18.

Nakupa Tips chache tuu.
Mambo ya dakika moja chali utabaki kuyasoma mitandaoni na kuyasikia.
Hata twende Sawa!

1. Tawala presha na Mzunguko wa damu kwenye Uume.
Tayari upo na mwenzi wako kitandani, uume umesimama mpaka unauma, usikurupuke kuuchomeka Ukeni, uume ukiwa umesimama Sana presha inakuwa kubwa, hivyo kuuingiza ndani ya uke na kuanza kuchochea(kuingiza na kutoa Ukeni) itaongeza msisimko na kukufanya umwage mapema zaidi Chini ya dakika moja.
Uume ukikaza Sana haishauriwi kuchochea upesiupesi ingawaje utakuwa na ashki na hamu kubwa. Pia Uke kiasili huongezeka joto unapokutana na uume uliokaza Sana na kusababisha mvutano baina ya Uke na uume, hiyo huwafanya wote msikie Raha isiyokifani, lakini Kwa mwanaume hujikuta akimwaga upesi.

Namna ya kudhibiti Presha na mzunguko mkubwa wa damu kwenye Uume;
I) Vuta pumzi nyingi ndani, kisha izuie Kwa sekunde 40 kisha iachie polepole.
Hii itafanya ubongo upoteze focus kwenye tendo kwani ubongo utakuwa na insufficient ya hewa Kwa sekunde hizo. Kumbuka kinachofanya MTU amwage ni ubongo Kubwa. Kuunyima ubongo hewa kidogo kuta- disturb ufanisi WA ubongo katika tendo.

ii) ukiingiza uume usifikishe mwisho mpaka kugonga ukingo wa uume.
Uume unapokuwa umekaza Sana, usiuingize wote Ukeni mpaka ukagusa makende au kibovu(Chini ya kitovu). Ingiza roborobo, nusunusu, hivyohivyo mpaka presha ya uume ipungue. Ingawaje Mwanamke atahitaji umsugue yaani umgonge kwa kuchochea(Kwa Kasi) usimsikilize, kuwa na nidhamu.
Utachochea na kuenda Kwa Kasi pale uume ukipungua kukaza( ukikaza Kwa wastani).

So utafanya hivi,
Ulilegea Kwa wastani utakuwa unachapa Kwa Kasi, ndani ya sekunde thelasini uume utakaza, utapunguza kuchochea, utakuwa unaenda polepole bila kuingiza uume wote. Ndani ya sekunde thelasini utalegea kiasi, kisha utaanza kuchochea tena Kwa Kasi. Hivyohivyo.

iii) Usiweke mwili kivivu ukawa na egemeo,
Ufanye mwili usirelax, uwe na zoezi Fulani linalotumia energy nyingi.
Kwa mfano, unapomchapa Mwanamke usimlalie Kwa juu na kujilaza moja Kwa moja. Hii itafanya urelax na ubongo utakuwa na Focus moja tuu ya tendo.
Unaweza kumtega Mwenza wako kwenye kitanda, kisha wewe ukasimama Kwa chini ukiwa umesimamia kucha au mguu mmoja, Hii itafanya mwili wako usiwe comfortable kwani Mwili utakuwa na kazi ya kutafuta stamina ya mguu mmoja au kusimamia vidole na muda huohuo kufanya tendo. Alafu uchanganye na kubana pumzi na kuiachia polepole ili kudhibiti Flow ya damu mwilini hasa kuja kwenye Uume.

Staili nyingine inayotumia energe kama kumgegeda mwenza wako ukiwa umembeba itazuia wewe kumwaga haraka,.

2. Dhibiti Mtiririko wa mawazo yako.
Unapofanya mapenzi hakikisha mawazo yako hayaingii Giza, yaani hakikisha unakitu unachokifikiria kichwani kuifanya Akili yako iwe busy. Usiwe kama MTU anayepatwa na usingizi.
Kadiri mawazo yako yanavyofutika na kuingia ukungu ndivyo unavyokaribia kumwaga.
Ndio maana unapaswa uipe Akili yako kazi, hapohapo unawaza usianguke kwani umembeba au umesimama mguu mmoja, hapohapo unahesabu sekunde za kupumua, hapohapo unawaza kumgeuza na kumkunja style nyingine. Hivyohivyo.

3. Anapokaribia mwenza wako kumwaga atakuchochea uongeze Kasi au atakukamatia, usichochee unapohisi Jambo hilo. Ila kuwa kama unamkatikia mauno ukiuzungusha uume na kuupachika kwenye ukingo wa ndani kabisa wa Uke. Wakati unafanya hayo endelea kuhesabu mapigo na mienendo ya MKE/mpenzi wako hasa mapigo yake ya moyo na Ndani ya Uke wake.
Anapokaribia kupizi joto la Uke hubadilika, hapo utaanza kuchochea polepole huku ukiongeza kasi, naye atakuwa anapagawa, twendetwende!twende! Kisha chomoa! Chomeka! Chomoa chomeka ukifanya hivyo mara Saba mpaka kumi mtoto huyo! Huyo! Huyo! Huyo! Kisha iingize umsugulie humohumo mpaka atakapomaliza kukojoa. Nawe unaweza kumwaga mkafika wote Kwa pamoja.

Maandalizi ya kila mara;
1. Lala masaa yakutosha kila Siku yasiyopungua nane Kwa Siku.
2. Usitumie Vinywaji kama soda na Junk foods
3. Kunywa maji ya kutosha kulingana na umri, kimo chako na uzito wako.
4. Kula matunda angalau ndizi moja kila Siku
5. Fanya mazoezi ya kukimbia angalau kilometer tatu Kwa siku, angalua siku tatu Kwa wiki.
6. Fanya mazoezi ya pumzi, haya yanahitaji kocha.
7 fanya mazoezi ya Yoga, hasa yanayohusu Kiuno, na mgongo.
8. Kula vyakula vya Protein kama maharage, nyama na mbogamboga.
9. Usile chakula Baada ya saa moja jioni.
10. Acha kupiga Punyeto.

Tuishie hapa Kwa Leo.
Ni Yule Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uliandika vya maana sana tatizo ikataja punyeto yetu umeikosea sana CHAPUTA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom