johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,970
- 146,180
Bunge lina Wabunge wa CCM kwa zaidi ya 98% so hakuna muswada wowote wa kuitia kitanzi CCM utakaopitishwa.
Ni mjinga tu anayeamini CCM itawaondosha Wakurugenzi wa Halmashauri na Walimu kwenye kusimamia Uchaguzi na kuhesabu kura hasa ukizingatia CCM iko Kwenye hatua ya Mwisho ya Product Life Cycle.
Kama vyama Vya upinzani vimeshindwa kupigania Katiba mpya ni heri viungane tu na CCM kwenye Utaratibu wa Nusu Mkate.
Jumaa Mubarak 😄🔥
Ni mjinga tu anayeamini CCM itawaondosha Wakurugenzi wa Halmashauri na Walimu kwenye kusimamia Uchaguzi na kuhesabu kura hasa ukizingatia CCM iko Kwenye hatua ya Mwisho ya Product Life Cycle.
Kama vyama Vya upinzani vimeshindwa kupigania Katiba mpya ni heri viungane tu na CCM kwenye Utaratibu wa Nusu Mkate.
Jumaa Mubarak 😄🔥