Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,488
- 2,340
Ni swali dogo tu la kawaida hata KICHAA anaweza kulijibu. CCM imekuwa inajisifu kuwa ina idadi kubwa ya Wanachama ambao kiuchaguzi ni Mtaji mkubwa wa Kuipigia kura CCM. Pia CCM imekuwa inajisifu kuwa ayafanyayo Mwenyekiti wake ni Mtaji mkubwa kwa wananchi kukipigia kura wakati wa Uchaguzi. LAKINI pamoja na yote hayo.
CCM imekuwa inaogopa sana suala la KATIBA MPYA licha ya kuwa inajisifu kuwa inapendwa na Wananchi.Pia CCM imekuwa inaiogopa sana TUME huru ya UCHAGUZI kama Ukoma.Najiuliza kama Kweli CCM inapendwa kwanini iwe na HOFU KUBWA ya kuwa na KATIBA MPYA na TUME HURU ya Uchaguzi?
Kwanini CCM inaing'ang'ania KATIBA ya Zamani na TUME ya Uchaguzi ya zamani? UKWELI iliopo CCM haijiamini na inajua wazi kuwa Idadi kubwa ya WANANCHI wanaichukia. Kupitia KATIBA na TUME ambazo zipo KICHAMA zaidi ndizo zinazoisaidia CCM kupata USHINDI katika CHAGUZI mbalimbali na hii ndiyo sababu ya CCM kutokukubali SUALA la KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI.
CCM imekuwa inaogopa sana suala la KATIBA MPYA licha ya kuwa inajisifu kuwa inapendwa na Wananchi.Pia CCM imekuwa inaiogopa sana TUME huru ya UCHAGUZI kama Ukoma.Najiuliza kama Kweli CCM inapendwa kwanini iwe na HOFU KUBWA ya kuwa na KATIBA MPYA na TUME HURU ya Uchaguzi?
Kwanini CCM inaing'ang'ania KATIBA ya Zamani na TUME ya Uchaguzi ya zamani? UKWELI iliopo CCM haijiamini na inajua wazi kuwa Idadi kubwa ya WANANCHI wanaichukia. Kupitia KATIBA na TUME ambazo zipo KICHAMA zaidi ndizo zinazoisaidia CCM kupata USHINDI katika CHAGUZI mbalimbali na hii ndiyo sababu ya CCM kutokukubali SUALA la KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI.