Hatukubali kufanya kazi na madaktari wa jeshi-wauguzi muhimbili wanena

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
wakuu nasikia wauguzi na wahudumu wengine wa afya wameapa kutoshirikiana na "madaktari" kutoka jeshini.huu mgogoro ni mkubwa kuliko ilivyofikiriwa na dalili zinaonyesha hali itakuwa mbaya zaidi hapo siku ya kesho.kwani leo ilikuwa siku ambayo ilitarajiwa kuwagawa madaktari lakini inaonekana bado wako pamoja na wanazidi kuvuta hisia za madaktari wa mikoa mingine.
 
safi sana, serikali ya kikwete haiwezi kuwa na majibu sehemu zenye maswali magumu. Naomba tuendelee hivi hivi ili ifike mahali hii serikali ya kishikaji itupigie magoti.
 
JackB umekua ukikazana sana na mgogoro huu hata sijui hizi tarifa unaziokotea wapi? nahisi unapelekeshwa na nguvu ya ziada ya ushabiki,hao manesi waliya sema hayo wapi na lini?
 
JackB umekua ukikazana sana na mgogoro huu hata sijui hizi tarifa unaziokotea wapi? nahisi unapelekeshwa na nguvu ya ziada ya ushabiki,hao manesi waliya sema hayo wapi na lini?
Kama wewe hauna taarifa sahihi ya kukanusha hiki alichoripoti wewe unawashwa na nini? wewe kama umeweza kumuona mwenzako anafuatilia sana huu mgomo na wewe ulikuwa unamuonaje kama hamfuatilii wote?
Huu ni unafki.
 
Ama kweli chupa/kioo kamwe hakipati kutu wala kuliwa na mchwa.

Madaktari onyesheni tofauti kati ya hao vilaza wanasiasa na nyie mlio sota class.
 
Yaliyonenwa na Nabii TB Joshua wa Emmanuel Ministry wa Nigeria yameanza kutimia! Naomba kumunukuu "Nimeona nchi fulani East Africa inayotegemea kuwa na uchaguzi mkuu tr 30 octb 2010, nkaona chama pinzani kikishinda kwa kuwa na kura nyng kuliko chama tawala LAKINI chama hicho tawala kimefanya udanganyifu na kuchukua nafas ya upinzani, nimeona nchi hiyo ikiwa ktk misukosuko na khali ngumu ya kiuchumi na kisiasa, niletei bendera ya nchi hyo ambayo inategemea kufanya uchaguzi ili tuiombee", haraka na kwa kasi kubwa mama mmoja akampelekea bendera ya Tz kwani ndo iliyokuwa ktk maandaliz ya kufanya uchaguz majira hayo ktk A.Mashariki. Weng wetu tulibeza na kutojali unabii huu, tukasahau na kuuona kuwa hauna maana, lakin ukwel wake unaanza kutimia.
My take; Mara baada ya uchaguz na ccm kujtangaza kua imeshnda kwa kishindo na kujaribu kuficha ukweli kwa kuimwinya NEC, mojawapo ya chama pinzani kilionekana kuwa kimeshnda hata kuficha matokeo ya chama hicho kwa baadh ya mikoa km Arsh, K'njaro, Mwanza, Mbeya, Kigoma na baadh ya majimbo ya Dar ambapo ilisemekana chama hcho pinzan kilikua kinara kwa kura, Lkn kura zake zkafichwa! Baada ya kuona hvo, niliwaeleza baadh ya marafk zangu na ndg wengne kile nachokiona, nikawaambia hivii, Kikwete ameamua kuchukua madaraka kwa hila na udanganyifu na kuwaona Watz kua hawana akili, lakini ni ole kwake maana hataweza kutawala wala kuiongoza nchi hi, nkasema, aitha uongoz wake hautaisha na endapo utaisha utamwacha Kikwete ktk hali ngumu kisiasa na kijamii! Sasa yote hayo naona yameanza kujongea, siwezi kujua ni lipi linaenda kutokea kati ya hayo mawili lakin tahadhar yangu naomba niitoe kwa wale wanaoamini ktk kuomba, na tuzidi kuiombea Tz kwan tuendako siko! Mungu airehemu Tz na watu wake. Tutubu kwa ajil ya viongoz wote na nchi kwa ujumla, Nyakati 7:14-15.
 
JackB umekua ukikazana sana na mgogoro huu hata sijui hizi tarifa unaziokotea wapi? nahisi unapelekeshwa na nguvu ya ziada ya ushabiki,hao manesi waliya sema hayo wapi na lini?

mkuu nadhani sasa umeamini.kama umesikiliza dira ya dunia BBC.
mimi niko kokote pale hata hapo ulipo!!
 
Yaliyonenwa na Nabii TB Joshua wa Emmanuel Ministry wa Nigeria yameanza kutimia! Naomba kumunukuu "Nimeona nchi fulani East Africa inayotegemea kuwa na uchaguzi mkuu tr 30 octb 2010, nkaona chama pinzani kikishinda kwa kuwa na kura nyng kuliko chama tawala LAKINI chama hicho tawala kimefanya udanganyifu na kuchukua nafas ya upinzani, nimeona nchi hiyo ikiwa ktk misukosuko na khali ngumu ya kiuchumi na kisiasa, niletei bendera ya nchi hyo ambayo inategemea kufanya uchaguzi ili tuiombee", haraka na kwa kasi kubwa mama mmoja akampelekea bendera ya Tz kwani ndo iliyokuwa ktk maandaliz ya kufanya uchaguz majira hayo ktk A.Mashariki. Weng wetu tulibeza na kutojali unabii huu, tukasahau na kuuona kuwa hauna maana, lakin ukwel wake unaanza kutimia.
My take; Mara baada ya uchaguz na ccm kujtangaza kua imeshnda kwa kishindo na kujaribu kuficha ukweli kwa kuimwinya NEC, mojawapo ya chama pinzani kilionekana kuwa kimeshnda hata kuficha matokeo ya chama hicho kwa baadh ya mikoa km Arsh, K'njaro, Mwanza, Mbeya, Kigoma na baadh ya majimbo ya Dar ambapo ilisemekana chama hcho pinzan kilikua kinara kwa kura, Lkn kura zake zkafichwa! Baada ya kuona hvo, niliwaeleza baadh ya marafk zangu na ndg wengne kile nachokiona, nikawaambia hivii, Kikwete ameamua kuchukua madaraka kwa hila na udanganyifu na kuwaona Watz kua hawana akili, lakini ni ole kwake maana hataweza kutawala wala kuiongoza nchi hi, nkasema, aitha uongoz wake hautaisha na endapo utaisha utamwacha Kikwete ktk hali ngumu kisiasa na kijamii! Sasa yote hayo naona yameanza kujongea, siwezi kujua ni lipi linaenda kutokea kati ya hayo mawili lakin tahadhar yangu naomba niitoe kwa wale wanaoamini ktk kuomba, na tuzidi kuiombea Tz kwan tuendako siko! Mungu airehemu Tz na watu wake. Tutubu kwa ajil ya viongoz wote na nchi kwa ujumla, Nyakati 7:14-15.
Kuna watu walisema T.B JOSHUA alipinga kuwa hakusema hayo maneno. Sijui ukweli ni upi.
 
Kwa hili,pinda ni kama alikulupuka, aibu itamfuata nyuma yake,kwa nafasi yake, busara ingemtangulia,lakini kwa style hii ya udikteta ni kama anazidi kulikoroga
 
Back
Top Bottom