Hatujui kesho yetu

The ice breaker

JF-Expert Member
Apr 20, 2023
543
1,163
Bonjour

Jamani haya maisha, tuache kudharau watu ambao tunawajua na tusio wajua

Kuna jamaa yangu mmoja, nili meet nae almost 5 years ago alikuwa boda boda, alikuwa ana park Kimara pale stend ya kuelekea Bonyokwa, nakumbuka alikuwa amechoka na kama kapoteza future, ila Leo tumekutana tena hapa Kambi ya Jeshi Twalipo.. ni officer wa Jeshi JWTZ , ana nyota tatu (3).

Ana mdogo wake pia, ni soldier komando, last time nili meet nae, alikuwa school driving..

Aisee imenipa hope sana

Kuhusu alifikaje, kasema ataniambia..

Tuache kuwachukulia watu poa.
 
Usidharau mtu na wale usihofie kuhusu siku zijazo, lolote linaweza kutokea.

Usiwe na wasi kuhusu kesho yao ila pambana kupata chochote kuendesha maisha yako ya baadae... Mwezi wa nane nilikuwa Dar nimekaa hapo miaka kibao ila mwezi wa tisa nimepata kazi sehemu nyingine na naishi mkoani sasa.

Nilikuwa na mipango kibao haswa huu mwezi wa 12 ila sipo tena nipo sehemu nyingine...Sisi wanadamu hatujui chochote kuhusu kesho yetu.
 
Bonjour

Jamani haya maisha , tuache kudharau watu ambao tunawajua na tusio wajua

Kuna jamaa yangu mmoja, nili meet nae almost 5 years ago alikuwa boda boda, alikuwa ana park kimara pake stend ya kuelekea Bonyokwa, nakumbuka alikuwa amechoka na kama kapoteza future , ila Leo tumekutana tena hapa Kambi ya jeshi Twalipo.. ni officer wa jeshi jwtz , ana nyota tatu (3)

Ana mdogo wake pia , ni soldier komando , last time nili meet nae, alikuwa school driving..

Aisee ime nipa hope sana

Kuhusu alifikaje , kasema ataniambia ..

Tuache kuwachukulia watu poa .
As long as mtu bado ana pumua, yuko hai, anaamka asubuh kwenda kuzurura na kurudi jioni (na time nyingine anarud kakosa), usije ukamdharau. Labda afe na umasikini wake, hapo labda.
 
As long as mtu bado ana pumua, yuko hai, anaamka asubuh kwenda kuzurura na kurud jioni (na time nyingine anarud kakosa) , usije ukamdharau. Labda afe na umasikin wake, hapo labda
Bora hiyo Mzee.

Mimi kuna jamaa namjua kabisa, na Huwa tunaongea, before alikuwa mlinzi wa getini.. now ni Afisa habari Wizara ya kilimo..
 
Bonjour

Jamani haya maisha , tuache kudharau watu ambao tunawajua na tusio wajua

Kuna jamaa yangu mmoja, nili meet nae almost 5 years ago alikuwa boda boda, alikuwa ana park kimara pake stend ya kuelekea Bonyokwa, nakumbuka alikuwa amechoka na kama kapoteza future , ila Leo tumekutana tena hapa Kambi ya jeshi Twalipo.. ni officer wa jeshi jwtz , ana nyota tatu (3)

Ana mdogo wake pia , ni soldier komando , last time nili meet nae, alikuwa school driving..

Aisee ime nipa hope sana

Kuhusu alifikaje , kasema ataniambia ..

Tuache kuwachukulia watu poa .
Unaheshimu mtu au unaheshimu mafanikio aliyoyapata mtu, na heshima kwa mtu inakuja kutokana na mafanikio yake tu?

Ungemkuta kachoka zaidi ya alivyokuwa miaka mitano iliyopita ingekuwa sawa kumchukulia poa tu?

Tuwaheshimu watu kwa sababu kesho wanaweza kupata mafanikio zaidi na hatujui nani atapata mafanikio zaidi?

Au tuwaheshimu watu tu, kwa sababu kuwaheshimu watu ni jambo jema, bila kujali kama watu hawa tunaowaheshimu watapata mafanikio au hawatapata?
 
Si kila boda au mtu anayefanya kazi Fulani ambayo wengi normally tunaona haina hadhi au official amepoteza direction.

Mwingine anafanya kama njia ya kutimiza NDOTO. Kwa sabu kabla ndoto haijatimia kuna maisha ya kawaida na ili mkono uende kinywani na uende chooni lazima ujiegeshe sehemu fulani.

Cha msingi ni kusimamia LENGO ili kutimiza NDOTO, bravo na nakupa maua yako jamaa. Huyo ndo real Warrior.
 
Unaheshimu mtu au unaheshimu mafanikio aliyoyapata mtu, na heshima kwa mtu inakuja kutokana na mafanikio yake tu?

Ungemkuta kachoka zaidi ya alivyokuwa miaka mitano iliyopita ingekuwa sawa kumchukulia poa tu?

Tuwaheshimu watu kwa sababu kesho wanaweza kupata mafanikio zaidi na hatujui nani atapata mafanikio zaidi?

Au tuwaheshimu watu tu, kwa sababu kuwaheshimu watu ni jambo jema, bila kujali kama watu hawa tunaowaheshimu watapata mafanikio au hawatapata?
 
Si kila boda au mtu anayefanya kazi Fulani ambayo wengi normally tunaona haina hadhi au official amepoteza direction. Mwingine anafanya kama njia ya kutimiza NDOTO.Kwa sabu kabla ndoto haijatimia kuna maisha ya kawaida na ili mkono uende kinywani na uende chooni lazima ujiegeshe sehemu fulani. Cha msingi ni kusimamia LENGO ili kutimiza NDOTO,,, bravo na nakupa maua yako jamaa.Huyo ndo real Warrior.
Kaka, mimi ni bachelor Holder, ila kazi ninayofanya, acha tu.

Ila naamini Kuna siku nitakuwa mkubwa.
 
Bonjour

Jamani haya maisha , tuache kudharau watu ambao tunawajua na tusio wajua

Kuna jamaa yangu mmoja, nili meet nae almost 5 years ago alikuwa boda boda, alikuwa ana park kimara pake stend ya kuelekea Bonyokwa, nakumbuka alikuwa amechoka na kama kapoteza future , ila Leo tumekutana tena hapa Kambi ya jeshi Twalipo.. ni officer wa jeshi jwtz , ana nyota tatu (3)

Ana mdogo wake pia , ni soldier komando , last time nili meet nae, alikuwa school driving..

Aisee ime nipa hope sana

Kuhusu alifikaje , kasema ataniambia ..

Tuache kuwachukulia watu poa .
Maisha yanabadilika. Waluya wa Kenya wanasema vindu vichenjaga. Maana yake mambo hubadilika. Samia Suluhu Hasan le president kuna baadhi ya mawaziri walikuwa wanamchukulia poa akiwa makamu wa raisi. Sasa hv ndio president mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom