wilsonilanga
Member
- May 26, 2013
- 79
- 14
Jana jumatatu tulifanya uchaguzi wa raisi wa chuo ambao ulifanyika Kwa amani Na kufikia tamati saa kumi kamili jioni Na muda wa saa nne usiku matokeo yalitoka yakionyesha bwana Edward Kunyara aliibuka mshindi Kwa kuwazidi Kura wagombea wenzake bwana Edward Kunyara Kwa sasa ndiyo raisi wa sokoine university Kwa mwaka 2016-2017