dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,410
- 15,992
Bbaada ya game ya Simba na yanga kuisha na yanga kuibuka na ushindi mnono wa goli tano kwa moja
Nilikwenda kutazama marudio wa mchezo ule ndipo nikabaini kuwa yanga alipazwa kushinda Zaid ya goli sita
Ndipo nikaanzisha Uzi wa kuitaka tff waombe msadaa kwa caf Kisha fifa wawe wanatuwekea VAR kwenye game kubwa zote
Kumbe bwana vingozi wetu wako huku na kusoma andiko langu na Kisha kuwatafuta caf na fifa Kama nilivyo shauri ili wawasadie upatikanaji wa vifaa hvyo haswa kwa game muhimu
Leo habari imetoka kuwa taayari wako ktk hatua za mwanzo kuanza mchakato wa ufungaji wa VAR ktk baadhi ya viwanja na tayari mkufunzi mkuu Yuko nchini tayari kuwa noa wataalamu wa VAR
Kwanza nasikitika Sana kwani pmj na kwamba nililitoa wazo langu na kuwapa mbinu jins ya kupata vifaa hvyo hata kunishukuru hata kunifata dm kunipongeza karia ameshindwa ku acknowledge wazo langu ila fresh tu mtakwama tu na mtanitafuta
Wazo langu iko hapa chini
Nilikwenda kutazama marudio wa mchezo ule ndipo nikabaini kuwa yanga alipazwa kushinda Zaid ya goli sita
Ndipo nikaanzisha Uzi wa kuitaka tff waombe msadaa kwa caf Kisha fifa wawe wanatuwekea VAR kwenye game kubwa zote
Kumbe bwana vingozi wetu wako huku na kusoma andiko langu na Kisha kuwatafuta caf na fifa Kama nilivyo shauri ili wawasadie upatikanaji wa vifaa hvyo haswa kwa game muhimu
Leo habari imetoka kuwa taayari wako ktk hatua za mwanzo kuanza mchakato wa ufungaji wa VAR ktk baadhi ya viwanja na tayari mkufunzi mkuu Yuko nchini tayari kuwa noa wataalamu wa VAR
Kwanza nasikitika Sana kwani pmj na kwamba nililitoa wazo langu na kuwapa mbinu jins ya kupata vifaa hvyo hata kunishukuru hata kunifata dm kunipongeza karia ameshindwa ku acknowledge wazo langu ila fresh tu mtakwama tu na mtanitafuta
Wazo langu iko hapa chini
TFF, Bodi ya Ligi Kuu tunaomba VAR iwepo katika game kubwa zote
Ni HV Niko naangalia marudio ya mechi ya Simba na yanga sc ambapo Simba walikandamizwa 5 kwa 1 ndipo nikabaini kuwa Simba walipazwa wafe takribani magoli siyo chini ya Saba Mudathiri yahya amenyimwa penati ya wazi kbsa na Hilo tukio la mudathiri lingetokea ulaya Hilo halina ubishi ni tuta moja...
www.jamiiforums.com