dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,404
- 15,988
Ni HV Niko naangalia marudio ya mechi ya Simba na yanga sc ambapo Simba walikandamizwa 5 kwa 1 ndipo nikabaini kuwa Simba walipazwa wafe takribani magoli siyo chini ya Saba
Mudathiri yahya amenyimwa penati ya wazi kbsa na Hilo tukio la mudathiri lingetokea ulaya Hilo halina ubishi ni tuta moja kwa moja na kadi juu .Tena refa Hana haja ya kujiridhisha kwenye VAR Ni penat na kadi directly red card
HV Kweli kapombe ana akili timamu ? unamdaka mtu mguu alfu unamuadaa refa kuwa umekanyagwa uso wako wakt siyo Kweli kwa ulaya Hilo Ni tuta na kadi nyekundu unapewa direct red card
Sasa tunataka kila mechi kubwa husuzan derby zote ziwekwe VAR ili kuweza kutoa haki stahili
Kwa ile mechi ilipazwa kuwepo na red card mbili na penati mbili yanga wapewe
Var kuikodisha hizi za AFL, Africa football. League hazizidi dola 10k au la tuongee na motsepe Rais wa shirikisho la mpira wa miguu caf na fifa watudhamini ili kuweza kupata vifaha hzo na wangozaji wa vifaha hvyo wotoke nnje ya nnch au mm Dr nimepewe usimamizi mkuu wa kitengo Cha var
Kwako NALIA NGWENA nakuachia uwanja mnk lzm utakuwa na hoja yako muhimu
Lkn pia bila kusahau kwa Aina ya marefa wetu Ni ngumu sana kuwaona ktk michuano mikubwa ya kimataifa kwa vile upatikanaji wao Ni wa mashaka Sana na ndio maana hukuna hata refa ameitwa fifa Wala caf ila wenzetu Burundi , Rwanda ,Kenya na Uganda ,Congo , Ethiopian kila Mara wanaitwa na fifa na caf kufanya nao kazi
Last final za CAFCL refa aliechezesha fainali hizo Ni raia wa Burundi kwa jina la Pacific embu imagine Burundi inatoa refa wa kuchezesha fainali ??.Lkn pia warundi wamejazan hapa bongo kuzaka ajira za Mpira na kupata pesa ndefu Kuna shida kubwa mno kwenye hili taifa inapazwa lifumuliwe upyaa kunaa muozoo mengi na majipu kila Kona Hadi kwenye mipira imejazana
Mudathiri yahya amenyimwa penati ya wazi kbsa na Hilo tukio la mudathiri lingetokea ulaya Hilo halina ubishi ni tuta moja kwa moja na kadi juu .Tena refa Hana haja ya kujiridhisha kwenye VAR Ni penat na kadi directly red card
HV Kweli kapombe ana akili timamu ? unamdaka mtu mguu alfu unamuadaa refa kuwa umekanyagwa uso wako wakt siyo Kweli kwa ulaya Hilo Ni tuta na kadi nyekundu unapewa direct red card
Sasa tunataka kila mechi kubwa husuzan derby zote ziwekwe VAR ili kuweza kutoa haki stahili
Kwa ile mechi ilipazwa kuwepo na red card mbili na penati mbili yanga wapewe
Var kuikodisha hizi za AFL, Africa football. League hazizidi dola 10k au la tuongee na motsepe Rais wa shirikisho la mpira wa miguu caf na fifa watudhamini ili kuweza kupata vifaha hzo na wangozaji wa vifaha hvyo wotoke nnje ya nnch au mm Dr nimepewe usimamizi mkuu wa kitengo Cha var
Kwako NALIA NGWENA nakuachia uwanja mnk lzm utakuwa na hoja yako muhimu
Lkn pia bila kusahau kwa Aina ya marefa wetu Ni ngumu sana kuwaona ktk michuano mikubwa ya kimataifa kwa vile upatikanaji wao Ni wa mashaka Sana na ndio maana hukuna hata refa ameitwa fifa Wala caf ila wenzetu Burundi , Rwanda ,Kenya na Uganda ,Congo , Ethiopian kila Mara wanaitwa na fifa na caf kufanya nao kazi
Last final za CAFCL refa aliechezesha fainali hizo Ni raia wa Burundi kwa jina la Pacific embu imagine Burundi inatoa refa wa kuchezesha fainali ??.Lkn pia warundi wamejazan hapa bongo kuzaka ajira za Mpira na kupata pesa ndefu Kuna shida kubwa mno kwenye hili taifa inapazwa lifumuliwe upyaa kunaa muozoo mengi na majipu kila Kona Hadi kwenye mipira imejazana