Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Wewe ni livuta MarijuanaHivyo ndivyo habari ilivyo , lakini Je ulijua kwamba kumbe ilikuwa ndege ya watu ?
Ningeshangaa kama ungesema tofauti Jo.. Kazi ya chawa ni kusifia hata upuuziUtetezi uko vizuri
Halafu ni new bland. Ooh sorry ni brand newKwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .
Tumerekebisha, nilichanganywa na Taifa Stars kufungwa Misri, unajua mimi ni Mzalendo sana.TTCL 😂😂😂
Kimpumu
😆😆😆😆
Mbona utetezi uko wazi kuwa hizo Q300 zilikuja 2008?Kwahiyo kumbe tulipigwa fix kwamba ndege zote ni zetu , kumbuka kila ndege iliyokuja tulifanya maandamano pale Airport .
Umetajwatajwa kule RomboNingeshangaa kama ungesema tofauti Jo.. Kazi ya chawa ni kusifia hata upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumerekebisha , nilichanganywa na Taifa Stars kufungwa Misri , unajua mimi ni Mzalendo sana
Mbaguzi ni mtu hatari sana.Mwacheni JPM apumzike. Yule mwamba pamoja na mabaya yake yote tunamkumbuka
Nyumbu uwezo wao wa kuelewa ni mdogo mno. Hata kusoma tu ni shida!Ndege zote za bombardier alizonunua Hayati Magufuli ni dash 8 -Q400. Ambazo ni model mpya ya iyo Q300 ambayo imekwama kule Malta.
Tuwe tunaelewa haya mambo ndugu zanguni kabla ya kuleta mada humu.
Ajabu hili jinga ndio linajinadi kwamba ni think-tank wa Chadema.Tumerekebisha , nilichanganywa na Taifa Stars kufungwa Misri , unajua mimi ni Mzalendo sana
Mbowe anahusikaje japo? Wewe lazima utakuwa juha😂😂😂😂unahangaika kujibu msukule wa Mbowe haunaga akili ni popoma
Huwa anajimwambafai kuwa ni mfanyabiashara wa kimataifa, hata sielewi biashara gani anafanya kwa uelewa mdogo kiasi hicho!wewe ni kilaza hata haujui nahisi ulisoma ngumbalu sijaona watu vilaza kama wewe
weww xNingeshangaa kama ungesema tofauti Jo.. Kazi ya chawa ni kusifia hata upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona utetezi uko wazi kuwa hizo Q300 zilikuja 2008?
Hizi zingine za 2016 na kuendelea si inajulikana ziko 13?
Sio la ajabu
halinaga akili ni yale mazee yanayosubiriaga kuhongwa yaandike lina mtindio wa ubongo ukiwa mwalimu unafundisha majinga haya unayaua tuHuwa anajimwambafai kuwa ni mfanyabiashara wa kimataifa, hata sielewi biashara gani anafanya kwa uelewa mdogo kiasi hicho!
Biashara ya uduvi labda.Hana uwezo hata wa kuvuka barabara wacha wa kujadili mada.Huwa anajimwambafai kuwa ni mfanyabiashara wa kimataifa, hata sielewi biashara gani anafanya kwa uelewa mdogo kiasi hicho!
Anauza minyoo ya kuvulia samakiBiashara ya uduvi labda.Hana uwezo hata wa kuvuka barabara wacha wa kujadili mada.