Kuna mtu anatakiwa awajibike hapo. Serikali moja lakini kauli tofauti tofauti. PM kauli yake, Spika kauli yake, naibu spika naye na mwisho Mkuu wa Serikali na Nchi naye anakanusha.
Inawezekana Mkuu watu wanapima upepo wanaweza kuirudisha kimya kimya!!!!!
Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.
Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..
Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.
Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.
Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.
SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012
Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.
Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..
Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.
Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.
Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.
SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012
Watagoma au kusinzia zaidi bungeni/mjengoni kwasababu zimefutwa????
Hurreeeeeeeiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.
Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..
Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.
Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.
Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.
SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012