Hatimaye posho mpya za wabunge zafutwa rasmi

Itakuwaje kwa wale wabunge tulioambiwa wameshaanza kuzichukuwa? Je watarudisha?
 
Inawezekana Mkuu watu wanapima upepo wanaweza kuirudisha kimya kimya!!!!!


Mkuu hii ngoma itachezwa kimyakimya.Wakati JK anaingia madarakani ilikuwa hivihivi,watu wakapiga makelele kuipinga hadi Rais wakati anaongea na wazee wa Dar akijidai kusema eti wabunge ni watu wazima na wamesikia,,,,,kilichofuata Mzee wa mikakati Samwel Sita akasubiri upepo utulie akaicheza kimyakimya.
 
Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.

Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..

Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.

Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.

Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.

SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012

Jamani eeh, someni vizuri hapo kwenye red. Suala hapa ni Rais bado hajatoa kibali, ila anaweza kutoa kibali kwa muda wake mwenyewe kwakuwa suala bado liko mezani kwake halijaondolewa, nani anasema zimefutwa? Hivi anayezifuta posho hizo ni yule aliyeziomba (kwa kuwithdraw maombi yake) au yule aliyepelekewa kuidhinisha? Mimi naona hii ni sanaa tu!
 
Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.

Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..

Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.

Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.

Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.

SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012

Nadhani kwa sasa suala si kufuta posho...HAPA CHA KUJUA NI KWA NINI VIONGOZI WA SERIKALI HAWAELEWANI KIKAULIIII???
 
Wanabodi.
Hatimaye nyongeza ya posho za vikao vya wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 zimefutwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema.

Kauli hiyo rasmi kutoka kwa kiongozi wa Bunge imekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kutatanisha kuhusu posho hizo..

Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge kutangaza Rais Jakaya Kikwete, aliidhinisha lakini Ikulu ikakanusha.

Ndugai alisema posho hizo hazijawahi kulipwa kwa kuwa Rais hajatoa kibali cha kufanyika hivyo.

Hakuna cha spika alisema hapo Ikulu imesema Rais hajasaini posho zitaendelea zile za zamani kama kawaida.

SOURCE: MWANANCHI FEB 14 2012
Hurreeeeeeeiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom