Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
asingepewa ban moja kwa moja-hata kama alikuwa anaboa au ana matazamo tofauti ya wengi,alitakiwa aachwe tu azungumze,hio ndo cost ya uhuru wa kuongea,si wote watakuwa na point za kufurahisha jamii,MS namchukulia kama hawa vichaa tulionao huku mtaani,hata kama wanatuboa,but ni part ya jamii yetu-hatuwez kuwauwa ka sababu eti wanatuboam as long hata sisi tunaweza boa wengine,bora aachwe nae aseme
Yes kuna freedom of speech lakini MS alikuwa amefikia levels nyingine.Yeye alikuwa mchonganishi tena kwa kutumia udini.Rwanda na Burundi walipochinjana kwa uchochezi wa radio kila mtu anajua makovu yaliyobakia... MS alikosa utanzania. Hatuhitaji kujenga chuki za kidini katika jamii yetu kwa kumfurahisha mtu mmoja.