Habari za uhakika nikwamba yule msumbufu no,1 MS(MARALIA SUGU)Ameng'olewa hapa JF baada yakuonekana mwelekeo wake ulikuwa mbaya wa wakugawa watu!Si raia halali wa JF.Kuanzia leo.
nafikiri wamrudishe tu, huwezi kuwa na watu wanaokubaliana kila kitu popote duniani
Habari za uhakika nikwamba yule msumbufu no,1 MS(MARALIA SUGU)Ameng'olewa hapa JF baada yakuonekana mwelekeo wake ulikuwa mbaya wa wakugawa watu!Si raia halali wa JF.Kuanzia leo.
asingepewa ban moja kwa moja-hata kama alikuwa anaboa au ana matazamo tofauti ya wengi,alitakiwa aachwe tu azungumze,hio ndo cost ya uhuru wa kuongea,si wote watakuwa na point za kufurahisha jamii,MS namchukulia kama hawa vichaa tulionao huku mtaani,hata kama wanatuboa,but ni part ya jamii yetu-hatuwez kuwauwa ka sababu eti wanatuboam as long hata sisi tunaweza boa wengine,bora aachwe nae asemeHabari za uhakika nikwamba yule msumbufu no,1 MS(MARALIA SUGU)Ameng'olewa hapa JF baada yakuonekana mwelekeo wake ulikuwa mbaya wa wakugawa watu!Si raia halali wa JF.Kuanzia leo.