Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Huwa hatatui chochote. Anachokifanya ni kukaa kimya tu na kuangalia upepo, na mwishowe watu, magazeti nk yatanyamaza. hana IQ ya kutatua migogoro on the face. Atawezaje wakati hao wanaovurugana ni mafisadi waliyomuweka? Ataanzia wapi?