stringerbell
Member
- Feb 19, 2010
- 86
- 0
Tulipokwambieni mnatumiwa tu na manya'nganyi kwa faida ya matumbo yao mlituona maadui wa nchi na watafuta vyeo, haya sasa mmeona mlipofikishwa CCM si chama chenu vijana wa Zanzibar, hasa Unguja, ni chama cha manyan'ganyi na majizi yanayotumia vibaraka wao Zanzibar kuifisidi nchi, hamjachelewa rudini kundini tuendeleze mapambano.
warudi kundini wapi cuf?huko nako ndo kabisa hakuna demokrasia cuf is belong to one person seif sharif hamad ,wanaongozana kisultani kisultani