Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.
hatimaye Mwandish wa habari Jeri Muro ameachiwa huru.mwandishi huyo aliyekuwa anafanya kazi TBC alikuwa anakabiliwa na kesi ya kudai rushwa...
sababu za kuachiwa ni zipi.......................hawawezi kumkatia rufaa?
mdau mwenyekujua hakimu alisemaje kuhusu kumuachia kwake huru maana tusianze kushangilia kibubusa
Jerry Muro aachiwa huru na kesi yake imefutwa |
kuna habari kuwa mahaka ya kisutu imemwachia huru aliyekuwa mtangazaji wa TBC1 Jerry Muro.
Mtu anaomba rushwa, anakamatwa na wala rushwa, uchunguzi unafanywa na wala rushwa, ushahidi unatolewa na wala rushwa, mwendesha mashtaka mla rushwa na hakimu mla rushwa pia. Mnatarajia hukumu iweje hapo?
Tuhuma dhidi yake zimeshndwa kudhibitika.
Sasa ni wakati wake kujua ni nini atawafanyia hao waliomzushia kesi.
Siamini kama maneno haya yanatoka kwenye key board unayotumia Mwita na umetumia mikono yako na ubongo wako kuyaandika
Jerry hana hatia kwa mashtaka aliyofunguliwa
Kisheria hata TBC walifanya makosa kwa kuwa hakustahili kufukuzwa kazi (kama amefukuzwa) maana mtu anakuwa guilty of the offence baada ya mahakama kudeclare hayo kuwa ana hatia na hapo ndipo walipaswa wao wamfukuze kazi.
Ila iwapo amefukuzwa kazi kabla mahakama haijamdeclare kuwa guilty of the offence kisheria ni kosa
Na Jerry kwa sasa hana hatia ni mtu huru na hajapatikana na kosa alilostakiwa nalo na ana uhuru wa kuajiriwa na kupata ajira popote pale
Sema kama kuna sababu nyingine kama kudanganya elimu au makosa mengine ya Jerry as Jerry ila ana haki zote kama raia ikiwepo ya kuajiriwa