samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Katafute majalada yake mahakamani utaona
Sasa kama we uliona unaona shida gani kunijuza? funguka mkuu
Katafute majalada yake mahakamani utaona
ha ha ha -- atapata siti ya kusimama cha msingi afike tu.He has recently got married just in case you are not aware of.
Hamna aliye juu ya sheria Maria. Watu wanajua kucheza tu na sheria. Issue ya Jerry Muro ni obvious kila mtu alikuwa anaifahamu. Mahakama imeshaamua, hatuwezi tena kumuhukumu hapa JFendelea kudhani upo juu ya sheria kuna siku tutawachoma vijiti makalioni kama gadaffi.
kwa akili yako Jerry alikuwa anafanya mchezo mchafu???????????
Niliwahi kusikia kuwa TBC walimfukuza kazi wakati kesi inaendelea, mwenye taarifa atatujuza zaidi.Hivi wakati kesi inaendelea mwajiri wake alikuwa bado TBC au ndio aliacha kazi kabisa huko?
Me too FL......!Thank God,Im so happy for you Jerry
Hivi wakati kesi inaendelea mwajiri wake alikuwa bado TBC au ndio aliacha kazi kabisa huko?
kipindi Tido akiwa mkurugenzi jamaa alikuwa anapewa nusu salary ila baada ya TIDO kuondolewa mshahara wote wa Jerry ukakatwa ikiwa pamoja na huduma zingine kama bima ya afya nk
Niliwahi kusikia kuwa TBC walimfukuza kazi wakati kesi inaendelea, mwenye taarifa atatujuza zaidi.
Well then i am expecting him kurudi kwenye one of the Tv Stations...lakini kwa jinsi mlivyoelezea sidhani kama itakuwa rahisi kwake kurudi TBC inaonekane huko na kwenyewe alifanyiwa vitimbikwa jinsi ilvyokuwa inaonekana nadhan hakuwa bado ni mwajiriwa wa TBC. Hata mwenendo wa kesi yake haukuwa unaripotiwa tbc. ITV ndo walikuwa wanairipot mara kwa mara.
Sasa tbc wamebaki na aibu zao..kwa jinsi ilvyokuwa inaonekana nadhan hakuwa bado ni mwajiriwa wa TBC. Hata mwenendo wa kesi yake haukuwa unaripotiwa tbc. ITV ndo walikuwa wanairipot mara kwa mara.
Hivi wakati kesi inaendelea mwajiri wake alikuwa bado TBC au ndio aliacha kazi kabisa huko?
Dah! Pole sana Jerry..Karibu tena uraiani. Lakini naamini utakuwa umeshapata fundisho. Siyo kila mtu ni wa kuchezea ndani ya TZ hii
Mkuu hii ni kwa mujibu wa sheria gani? Wanatakiwa washitakiwe hao manake kwa mujibu wa ELRA mtuhumiwa hatakiwi kukatwa mshahara anatakiwa alipwe wote hadi atakapopatikana na hatia. Na kama hatapatikana na hatia basi anarudishwa kazini na kuendelea na kazi hili suala la kukatwa mshahara ama kutolipwa halipo hata kidogo!kipindi Tido akiwa mkurugenzi jamaa alikuwa anapewa nusu salary ila baada ya TIDO kuondolewa mshahara wote wa Jerry ukakatwa ikiwa pamoja na huduma zingine kama bima ya afya nk