Hiyo picha ingegeuzwa ili tuone sura za hao wanafki.
Kwa mtindo huu lazima ndege isukumwe mpaka ipae.
Ngeleja atamsindikiza uwanja wa ndege pindi atakapo kuwa akielekea kazini kama balozi mteule.
Dah ukiangalia jinsi alivyosukumwa mpaka roho za watanzania ZINAUMA!Dah kweli JK hapo kaanzia pazur akiweza kumpeleka mahakamani nitamsifu sana[/QUOTE
ushawahi kuona wapi mwizi anamshtaki mwizi mwenzie
Dah ukiangalia jinsi alivyosukumwa mpaka roho za watanzania ZINAUMA!Dah kweli JK hapo kaanzia pazur akiweza kumpeleka mahakamani nitamsifu sana
Anaweza mpeleka majuu kuchukua nafasi ya yule aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya Luhanjo
Hiyo picha ingegeuzwa ili tuone sura za hao wanafki.