Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Jamani rais kesha chagua katibu atakaye kalia kiti cha JAIRO.Nadhani sasa ni rahisi kumpeleka MAHAKAMANI kama wataweza.
Anasubiri kuwa balozi...
god forbid, hiyo ndege itasukumwa na wafanyakazi mpaka ipae.
Tupumzike na ya kina jairo na wenziye sasa!
asee u made ma day dude!!! Ila anatakiwa aswekwe lupango km kina lyumba halaaaa
kwa kosa gani?!, ujenzi wa twin towers haukuwa na dosari, kesi ya liyumba inakisababishi kingine, jairo hana kisababishi kingine. Atapeta tu.
kila nkisoma hii post
naangua kicheko
Ona wanavyoyapa taabu masaburi yao
Jamani rais kesha chagua katibu atakaye kalia kiti cha JAIRO.Nadhani sasa ni rahisi kumpeleka MAHAKAMANI kama wataweza.
Wapi ngereja aende kumpa na pole, si alitoroka bungen kwenda kumpokea alivyorudshwa na janga luhanjo.