Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Subutu!!... kama utawaona utaniambia.hawa majangili wanatupora uhai,hadi fedha za kodi hawaachi kitu,hata hao ulio wataja utakuta wanatumia kodi yetu kuja hapa jamvini kukanusha mambo ya msingi
Last edited by a moderator: